ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,798
- 13,536
hutokufa kumfariji mgonjwa si lazima umpe hela hata maombi tu yanatosha ili upone ukazitafute za kwakoAu nyie ndio nikifa mtaanza kunililia na kutoa michango mnashindwa kunipa mahela nikiwa naumwa mbona mkija kuniaga nawatokea mm