Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kama sio mondray sijuiHahahaa Lee habari ya siku nyingi mzee
Kama sio mondray sijuiHahahaa Lee habari ya siku nyingi mzee
Umekosea mondray yupo na hajabadili JinaKama sio mondray sijui
HazardUmekosea mondray yupo na hajabadili Jina
NanjooòoLee njoo jukwaa la Chelsea kule
Nzuri tuBitoz
Hzbari ya cku,uko mzima
Tunong'oneze ya zamani basiJf ilipotea na mimi nimerudi na ID mpya
Lee
Tumosa
Shunie
Wana wapotevu
Wote naamini mko poa
Basi we nanUmekosea mondray yupo na hajabadili Jina
Asante kaka ake barikiwaNzuri tu
Nasikitika siku hizi maisha yanebadilika sio kama zamani ila mwisho wa mwaka nikitimba Green City naweza nikakutafuta........
Uwe na Jioni Njema
..............
Tuko hapaaMko wap wapendwa
Mkuje basi
Wodiikapuuu kama kawaidaUmeshindaje
Wengine wako wapi,wanaangalia wodikapu![]()
![]()
![]()
Njema sana shemu.Salama habari yako
Vp shededeNjema sana shemu.
Ungeanza mwanzo ungepatiaHazard
I had no your mobile number jirani..Uwiiii nliwamiss hadi naumwa,na sikujua kama mambo yashakuwa safi