Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uko poaBroo.
Uko poaBroo.
Nzuriii mkuu tulipotea woteNipo mzee baba.
Habari za kupotea...?
Shikamoo shemelaWe are back..
Lipo binamuImani ni hakika ya usiyokuwa na hakika nayo. Ni imani yangu wote mko vizuri na ni jambo zuri Makapuku kuwa hewani tena.
Kuna jipya?
Binafsi nipo, nimepata leseni ya kuendesha bodaboda, hivyo siku JF ilipokuwa kifungoni was fanyaling mazoezi ya kuendesha.
Hujambo aunt yangu?
Makapuku wenzangu naimani maisha yanasonga.
Labda tu niwajulishe mjomba wangu Lyon Lee aliteguliwa mbavu baada ya kudanganya anaenda kuangalia wedikapu siku ya Ijumaa, aunt yangu si wa mchezo mchezo, kapata tabu sana

Bitoz
Mama Wenger tulikumiss piaUwiiii nliwamiss hadi naumwa,na sikujua kama mambo yashakuwa safi
Huku kwema dear sijui wwMama Wenger tulikumiss pia
Habari ya kwenu
Namshukuru Mungu nko poaHuku kwema dear sijui ww
Jf ilipotea na mimi nimerudi na ID mpya
Lee
Tumosa
Shunie
Wana wapotevu
Wote naamini mko poa
we naniHahahaa Lee habari ya siku nyingi mzee![]()
![]()
![]()
we nani