ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Kwani ndo sababuEti jamani si nimemrudishia mbebez wake
Povu si la nchi hii atuache na kanisa letu liwe la wadanganyi au watu wa fitna atuache jamani wenyewe tumeridhika






Nilitaka nishangae usiweke
Kwani ndo sababu
Koh koh
me sijasema ivo
Hahahaha unanisingizia ujueWewe umekazia kabisa
Sikusingizii kumbuka ulichoongea jamaniHahahaha unanisingizia ujue
Lakini si ndo kibonge mwenzioSikusingizii kumbuka ulichoongea jamani
Marhaba malkia Wa Kiafrika. Umefunga?Shikamoo Rene
Mi sijambo mamito, jina langu ndio hili hili toka zamani, hata sasa na siku zote. Napenda mtaa huu uko peace na umejaa Upendo Wa kweli.Hujambo lakini, uzima kwanza hayo mengine ni ziada sana!
Zamani ulikuwa waitwa nani vilee
Lakini si ndo kibonge mwenzio
Mi sijambo mamito, jina langu ndio hili hili toka zamani, hata sasa na siku zote. Napenda mtaa huu uko peace na umejaa Upendo Wa kweli.
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app