Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Jamaaani kwan tuna ugomvi mm na wwMsalimie mchepukoo wako au mganga wako alikwambia uwe unanisalimiaa ili unipatee
Jamaaani kwan tuna ugomvi mm na wwMsalimie mchepukoo wako au mganga wako alikwambia uwe unanisalimiaa ili unipatee
Mm cmo kwenye hyo kamatiHivi mtakalia majungu mpaka liniii
Ndo ukomeee kunisalimiaaJamaaani kwan tuna ugomvi mm na ww
Ahsante sana shemejiShemela karibu kanisani
Hbr ya ckuAhsante sana shemeji
Malalamishi yte hayo kumbe umedangwaSi waumini wa binamu ...
Na wadangajii
SikomiiiiNdo ukomeee kunisalimiaa
Huyo mbebez wako wa zamani ananichosha mm
Cjui nani kamdanga anakuja kumalizia hapa hasira zkemmefanyiana nini
Au umefanana na huyo mtu ndo mana hasira zinaishia kwako

nimeona sampo yake hapo nimeghairi kumkaribisha atatuchelewesha kwanza
Hahahaha!
Mmeamkaje wapendwa katika Kristo