Usinyweee lakiniSio katibu ni mwenyekiti wa sadaka halafu hiki cheo nipo mm peke angu sihitaji msaidizi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wacha kabisa...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.
Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
Halafu maombi ataongoza mamaSadaka mm ndio nakusanya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Heshima yako mama mchungaji,[emoji16]kaah mara hii unadai sadaka wakati hata nyimbo hatujaimba jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo sawa mzee wa kanisa
Ww shemasiSawa sawa kabisa..!
Mimi naomba cheo cha "Msajili wa vyama [emoji3][emoji3]"
Mpokee ABJ kulinda jukwaa na kukusanya waumini wa kanisa tunalotegemea kuanzisha...nimekuja sasa, kuna jipya?
Ewaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...nimekuja tayari, kuna jipya limetokea ungependa uliseme niliandike kwenye daftari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee wa kukunda...ha hhahhaa, watu hata hatujaanza kunena kilugha tukiongozwa na mzeewakungoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo sasa...hahaha babu nae kapata cheo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] muende kwenye mazoezi ya kwayaJipya lipoo mimi nimechaguliwa kuwa mcheza shoo kwenye band yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124]...nimekiona, nashukuru sana, sasa ninajiandaa kukuletea bajeti ya idara yangu, wewe si ndo unashika hela?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...safi sana, hii band inabidi ifanye vizuri zaidi tuteke soko na watu wote waje. Kama unajua kukatika vizuri utakaa safu ya mbele, ila kama ni mzito fulani hivi kama unatokea milimani inabidi uje nikuelekeze kwa vitendo mpendwa
BH atawaombea[emoji23] [emoji23] [emoji23]...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.
Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
Mfogo wangu umeharibika[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka hakya mama,yani ondoa shaka humo ndo mwangu kiuno kinaenda ka feni
Unataka majaribuHahaha! Cheo changu hakina kuingizana majaribuni hahaha lol
Ndeti lukoloHabari family.
Ngoja mama mchungaji akusikie[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]huyo nimemzidi
Kufuguna ndo nn [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniandkia kilugha chenu