Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.

Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wacha kabisa
 
...ha hhahhaa, watu hata hatujaanza kunena kilugha tukiongozwa na mzeewakungoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee wa kukunda
 
...nimekiona, nashukuru sana, sasa ninajiandaa kukuletea bajeti ya idara yangu, wewe si ndo unashika hela?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124]
 
...safi sana, hii band inabidi ifanye vizuri zaidi tuteke soko na watu wote waje. Kama unajua kukatika vizuri utakaa safu ya mbele, ila kama ni mzito fulani hivi kama unatokea milimani inabidi uje nikuelekeze kwa vitendo mpendwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.

Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
BH atawaombea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka hakya mama,yani ondoa shaka humo ndo mwangu kiuno kinaenda ka feni
Mfogo wangu umeharibika[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom