Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
NasubiriaInayofata nn
Rayna karibu mwaya huyu ni binamu yetu anaitwa obe ukitaka music wa aina yeyote ukuje atakuwekea ndio dj wetu humu makapuku
UwiiiiiiiSawa ntakuja my dear kila siku!
Tumosa namuonaga siku moja moja !Ewaaaa
Hayo ndio maneno tumosa umemuona eenh unamjua
Hakuna wakupeleka kule binamu...taratibu binamu, sio unaniambia tu badala ya kuweka tahadhari kwa wengine wasifikishe taarifa kule moyo wangu ulikoangukia
MarahabaaAhsante babu!shikamoooo
KhaaaaYaani Sakayo ameanza kukushangaa unavyonikataa... Ndo Namwambia anaanza kuja vizuri.... WEWE BADO UMEKAZA KAMA VYUMA VYA MAGU
Hv korosho ulishamletea...asante kwa utambulisho mzuri, unapenda zawadi gani, sema kama ni kinywaji, au bando chochote tu taja nitafanikisha
Kazana basi umalizie ile kazi... Ulifika pazuriAhsante babu!shikamoooo
Hebu nitoe hapo mieMjukuu wangu una dizaini wewe...... Sakayo Mashavu ......Tumosa machura.... Inayofata?????
Ni balozi wako wapiNzuri Ray... Karibu balozi wangu
CC: Shunie

Kazana basi umalizie ile kazi... Ulifika pazuri
haina problemaa!Naenda tarawehHumu ndio nyumbani shoo sakayo katoka kaenda kufturu karibu sana jamani uwe unakuja kuja
Ewaaaa
Hayo ndio maneno tumosa umemuona eenh unamjua
Bado kidogoKhaaaa
Hebu uende taraweh
Hahahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
shunie loooh!nimekuja tu maana naona huku kuna watu kungine thiwaoni...!!na shoga yangu wewe kutwa humu