Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ahsanteee
...nitambulishe basi kwa mgeni, au kama ni jinsi sawa na mimi achana naye mkaribishe akae viti vya nyuma. kama ni tofauti na mimi mwambie aje nitampisha hapa wanapoanzia kugawa vinywaji na chakula
Rayna karibu mwaya huyu ni binamu yetu anaitwa obe ukitaka music wa aina yeyote ukuje atakuwekea ndio dj wetu humu makapuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom