mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Yeah I know.... Lakini wanaoguna kama wewe ndo wananipandisha mashetani KweliiiiiiOoh ila yapo yenyewe ya kunogewa ukiwa na hisia na mbebez wako






Yeah I know.... Lakini wanaoguna kama wewe ndo wananipandisha mashetani KweliiiiiiOoh ila yapo yenyewe ya kunogewa ukiwa na hisia na mbebez wako






Huyo ndio mumeo shululu
Hivi binamu si nilikupa shikamoo hujaona au vipi
Sio kona nyingi jamani mm sielewi yaani sielewi chochoteEbu wacha kona nyingi basi mjukuu wangu
Asante binamuMuziki: Salam
Ni jambo zuri kusalimiana, salamu ni nusu ya kuonana na kama ulikuwa ni msikilizaji wa RTD enzi hizo za kina Husein Mabureta, baba Dullah wa Makorora Tanga na Said wa Mhuta Newala kwetu huko, utajua namaanisha nini. Na ni hii hii sababu ndo inanifanya nisiache kukusalimia kila ninapopata nafasi. Ninakusalimia kwa sababu wewe ni mtu muhimu unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Ijumaa-Furahiday sikutokeza hapa kutokana na sababu zilizo ndani ya uwezo wangu lakini sikuacha kutupia jicho moja mbili, hakijaharibika kitu. Ninafurahi kukuona mdau shululu kuja hapa, mjomba wangu Lyon Lee , na mtaasisi Nyagei , ninawataja ninyi kwa sabu hamkuwepo hapa kitambo na huwa tunawamiss hata kama sio alhamisi.
Muzki sasa, taratibu leo, wikend ilikuwa fupi. Juma la kuelekea mwisho wa mwezi, kuugawa mwaka inahitaji kukaa chini na hesabu za magazijuto.
Oh, nilitaka kusahau, nimemmiss sana BlessedHope
Unajua jina langu?We sema tu hivyohivyo jf hii humu kama kucheza biko
Asante binamuMuziki: Salam
Ni jambo zuri kusalimiana, salamu ni nusu ya kuonana na kama ulikuwa ni msikilizaji wa RTD enzi hizo za kina Husein Mabureta, baba Dullah wa Makorora Tanga na Said wa Mhuta Newala kwetu huko, utajua namaanisha nini. Na ni hii hii sababu ndo inanifanya nisiache kukusalimia kila ninapopata nafasi. Ninakusalimia kwa sababu wewe ni mtu muhimu unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Ijumaa-Furahiday sikutokeza hapa kutokana na sababu zilizo ndani ya uwezo wangu lakini sikuacha kutupia jicho moja mbili, hakijaharibika kitu. Ninafurahi kukuona mdau shululu kuja hapa, mjomba wangu Lyon Lee , na mtaasisi Nyagei , ninawataja ninyi kwa sabu hamkuwepo hapa kitambo na huwa tunawamiss hata kama sio alhamisi.
Muzki sasa, taratibu leo, wikend ilikuwa fupi. Juma la kuelekea mwisho wa mwezi, kuugawa mwaka inahitaji kukaa chini na hesabu za magazijuto.
Oh, nilitaka kusahau, nimemmiss sana BlessedHope
Khaaaaa makubwa hayaYeah I know.... Lakini wanaoguna kama wewe ndo wananipandisha mashetani Kweliiiiii![]()
Asante sana dj Obe kwa musicbora kabisa
Usijali ntakueleweshaSio kona nyingi jamani mm sielewi yaani sielewi chochote
Mh mbona sijaona binamu jamani...nimeitikia aunt yangu mwenyewe, au hupati notifikesheni kwa sababu unatumia ile simu ya Itel?
Nikiacha kujibu salamu yako mimi si nitakuwa nimerogwa
Labda avae miwaniKwahiyo shikamoo yangu hajaiona kabisa
Asante binamu
Naanzaje kulijua mieUnajua jina langu?
MhUsijali ntakuelewesha
Sana binamu namshkuru Mungu...asante kwa kuupenda muziki huu, najua ulikuwa na wikend nzuri
Hakika umenena..asante kushukuru mdau. MF for real
Kawaida tu Jamani.... Wacha kujitia utoto bana!!!Khaaaaa makubwa haya
Labda avae miwani
Maana ya jina langu... Victor... Kwa hio Sina asili ya wogaNaanzaje kulijua mie