Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Aminaa shemAminaaa
Aminaa shemAminaaa
Nimesha weka tick kwenye list ya vitu vya kununua leo MumyLeo usisahau ubuyu WA pilipili na ukwajuu
Anayefanya kitu akiwa amelewa asilimia kubwa huwa kadhamiria kwamba nakunywa lakini flani atanikoma. Sidhani Kama gadner kaanza kunywa juzi mpaka pombe imtawale kiasi kile.Jamani ni makosa kusema alihifadhiwa, kwani wote wakihitajiana.
Nafikiri kateleza tu kwani kuna wakati alihojiwa akajibu hawezi kumwongelea Jide hadharani kwani
Jide ni public figure, nahisi alikuwa kalewa
Thanx bbyNimesha weka tick kwenye list ya vitu vya kununua leo Mumy

Nazidi kumshukuru Mungu kwa ajili yako My dear..As usually ikiwa kwako njema kwangu ni zaid ya wewe
Inaonekana anapenda vitu vichachu ndiyo maana napendekeza na juice ya ukwajuOh nayenyewe inafanya kazi gani sisy hiyo juice ya ukwaju?Maana ametupa na perfume zangu zote anasema zina harufu mbaya ila ni yeye aliezipendekeza nikanunua...
Ni kweli kabisaHata km chini ya mti...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...................
Mungu mwema kakaKwema sana mkuu habari ya kwako mtumish?
NimekuPM.....Ni kweli kabisa
Inaongeza hamuOh nayenyewe inafanya kazi gani sisy hiyo juice ya ukwaju?Maana ametupa na perfume zangu zote anasema zina harufu mbaya ila ni yeye aliezipendekeza nikanunua...
Wiii naomba ule mchanganuo wa kilimo cha matikiti
Daah cjui sana kwani cjawahi kunywa pombeAnayefanya kitu akiwa amelewa asilimia kubwa huwa kadhamiria kwamba nakunywa lakini flani atanikoma. Sidhani Kama gadner kaanza kunywa juzi mpaka pombe imtawale kiasi kile.
Ingependeza Kama angeishia pale mwanzo aliposema kuwa hana tatizo na huyu mtoto wa kike
Basi sawaaaaNimekuPM.....
kwetu kwanza
Ugenini baadaye
................
Basi sawaaaa
Nitakuwepo home sana leo
Dada upo kwema leo?Ni kweli kabisa
Mzee wa Piazza.....Inaongeza hamu
Poa my ntakuja pm badae now npo tyt kiddogooWiii naomba ule mchanganuo wa kilimo cha matikiti