Jide hawezi kumjibu. Gadner ana stress Sana amesahau Kama jide alimuhifadhi kwa 15 yrs?Tunasubiri Jide naye aje na kiitikio kuwa cjawahi kupandishwa Kileleni
Kabisaa.Jide anajielewa Hawez kumjibu
Dah jana niliagiziwa nikatafute maembe mabichi..Nikauliza kwa nini nisilete yalioiva nikaambia anaamu na hayo...So inawezekana kuna habari njema sana..Mimi mzima kabisa kaka yangu. Namsubiri aunty tu hapa
Mke mwema shikamoooJide anajielewa Hawez kumjibu
Huyu mchaga WA pwani sio WA milimani huyuJide hawezi kumjibu. Gadner ana stress Sana amesahau Kama jide alimuhifadhi kwa 15 yrs?
Nimemtoa Sana thamani sijui mchagga gani huyu?
Mtafutie na juice ya ukwajuDah jana niliagiziwa nikatafute maembe mabichi..Nikauliza kwa nini nisilete yalioiva nikaambia anaamu na hayo...So inawezekana kuna habari njema sana..
MarhabaMke mwema shikamooo
Sina cha kulaumu Mumy kwani siku yangu imeanza na baraka tele na zinazidi tiririka...Upande wako vp Mumy?Habar ya kaz my?
Leo usisahau ubuyu WA pilipili na ukwajuuDah jana niliagiziwa nikatafute maembe mabichi..Nikauliza kwa nini nisilete yalioiva nikaambia anaamu na hayo...So inawezekana kuna habari njema sana..
Kabisaa atakuwa mchagga wa pwani maana si kwa kukosa akili kiasi kile.Huyu mchaga WA pwani sio WA milimani huyu
Wanaume WA milimani wanajielew eti
Jamani ni makosa kusema alihifadhiwa, kwani wote wakihitajiana.Jide hawezi kumjibu. Gadner ana stress Sana amesahau Kama jide alimuhifadhi kwa 15 yrs?
Nimemtoa Sana thamani sijui mchagga gani huyu?
As usually ikiwa kwako njema kwangu ni zaid ya weweSina cha kulaumu Mumy kwani siku yangu imeanza na baraka tele na zinazidi tiririka...Upande wako vp Mumy?
Oh nayenyewe inafanya kazi gani sisy hiyo juice ya ukwaju?Maana ametupa na perfume zangu zote anasema zina harufu mbaya ila ni yeye aliezipendekeza nikanunua...Mtafutie na juice ya ukwaju
Mungu ni mwema shemMarhaba
Habar ya wewe??
AminaaaMungu ni mwema shem
Kwema sana mkuu habari ya kwako mtumish?Manuu kwema?