hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Ngoja nifanye hivyo mdau. Sorry kwa usumbufu uliojitokeza
Mkuu kukusaidia tu kaweke bandiko lako entertainment
Mkuu kukusaidia tu kaweke bandiko lako entertainment
kweli haya yafirauni "" ya Mussa nilishajionea yalikuwa yana nafuuNdio ujionee sasa
Usijali mkuu wala sio usumbufu nimekuelekeza huko utasaidiwa faster tatizo lakoNgoja nifanye hivyo mdau. Sorry kwa usumbufu uliojitokeza
Taarifa nimempa kuwa asiwe na mtu mhuni kama wewe maana nasikia we ni kijogoo cha kisukuma unadandia tu kuku akiatamia unachanja mbugachief " asante sana kwa uhusika wako "" kwakweli jukwaa lilichangamka...karibu tena " usisite kututembelea kupukuz"" next ukirudi utamkuta mdogo wako akiwa mjamzito ""
kumbeeee"" asante sana nimeshajua kwanini napigwa vita "" waliosema ndovu anaponzwa na pembe zake hawakukosea ""

Iwe na kwako kaka akeeWakuu niwatakie jion njema
Samahan kwa walio kwazika kwa namna moja au nyingine
Yote hii ni kufanya jukwaa letu liwe kama sehemu ya kukumbushana kuelimishana
Woyoooooooooooooochief " asante sana kwa uhusika wako "" kwakweli jukwaa lilichangamka...karibu tena " usisite kututembelea kupukuz"" next ukirudi utamkuta mdogo wako akiwa mjamzito ""
Nawe pia kaka uwe na jion njemaWakuu niwatakie jion njema
Samahan kwa walio kwazika kwa namna moja au nyingine
Yote hii ni kufanya jukwaa letu liwe kama sehemu ya kukumbushana kuelimishana
Ebu uko
Huyo hapa nikwao jamanichief " asante sana kwa uhusika wako "" kwakweli jukwaa lilichangamka...karibu tena " usisite kututembelea kupukuz"" next ukirudi utamkuta mdogo wako akiwa mjamzito ""
Sawa kaka utuletee usipaNimesha fika hapa boda ya kyela
unasubiri nini kuondoka..shemeji " mkeo anakusubiri muende..."" siulishaaga mkuu"" mbona bado upo "" maana ABJ wangu kasema haji mpaka wewe uondokeTaarifa nimempa kuwa asiwe na mtu mhuni kama wewe maana nasikia we ni kijogoo cha kisukuma unadandia tu kuku akiatamia unachanja mbuga
Nashukuru mkuu hapa ni nyumbani kwetu
NImeshabandika Kibandiko changu kule mkuu.Usijali mkuu wala sio usumbufu nimekuelekeza huko utasaidiwa faster tatizo lako
ShunieEbu uko