Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mimi sijawahi kukwama pembejeo hata siku mojaha hahaaa...aisee"" shemeji nitajie namba yko nikutumie muamala"" nasikia umekwama mazao yamekosa pembejeo ""
Maana nafanya mandalizi mapema nikisha vuna akiba ndio nakula
Siwezi kula mtaji
Wajinga tu ndio wanakula mtaji
Huo mwamala mtumie yule bibi wa jirani yenu pale nilipita akaniambia hammjali kabisa kama vile sio jirani yenu
