Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Asante shemela..Karibuu sana
Asante shemela..Karibuu sana
mtoto mteke/mzuri mzuri"" kumbe waishi mbeya...."""!? nilivyokuwa na mahaba na watu wa hiyo kanda....na hisi Mungu this time ameyapokea vyema maombi yangu aisee...na kuniletea majibu + mapema ...Mungu anipe mini mieKaribuu sana
Sisi niwakarimu mnooAsante shemela..
hahaa..mzee una bidii "" hiyo marathon unashinda sasa hivi"" ongeza kasi
maneno ya kumtoa nyoka pangoni haya....huhuuu""Sisi niwakarimu mnoo
Ooo shemeji ondoa shakaNajuaaa sanaa..
Ndio maana naomba mnipokee
Mtoto anajitia kuwa na password ila inabidi nizi unlock zoteee... no wayhahaa..mzee una bidii "" hiyo marathon unashinda sasa hivi"" ongeza kasi
Tumoooo njooo baby wangu...Haya endelea jamani
Asante sana shemela..Ooo shemeji ondoa shaka
kakutana na professional IT ..hapo lazima " Ngamia achinjwe tu""…...Mtoto anajitia kuwa na password ila inabidi nizi unlock zoteee... no way
Hahahah eemaneno ya kumtoa nyoka pangoni haya....huhuuu""
mtoto mteke/mzuri mzuri"" kumbe waishi mbeya...."""!? nilivyokuwa na mahaba na watu wa hiyo kanda....na hisi Mungu this time ameyapokea vyema maombi yangu aisee...na kuniletea majibu + mapema ...Mungu anipe mini mie



karibuuu saaana saaanaWacha weeewallahi napokuona najihisi "" kama mtalii aliyemuona twiga "" mbugani

kwa kweli "" nimeshakaribia...na hata kama usingenikaribisha..jinsi avatar yako ilivyo namvuto ningejikaribisha mwenyew tu''karibuuu saaana saaana
sure "" kumbe makapuku ndio kuna raha hivi...duuhh...nambona huwa hauonekani kwenye majukwa mengine "" ?Wacha weee![]()
![]()
Hahahaha hatarikwa kweli "" nimeshakaribia...na hata kama usingenikaribisha..jinsi avatar yako ilivyo namvuto ningejikaribisha mwenyew tu''
Nikaribishe ntakujasure "" kumbe makapuku ndio kuna raha hivi...duuhh...nambona huwa hauonekani kwenye majukwa mengine "" ?