Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
ShauriloWanyakyusa..
Wasafa..
Nakuja kwenu hukooo
ShauriloWanyakyusa..
Wasafa..
Nakuja kwenu hukooo
Shauri yao waliokuacha..!Shaurilo



Shauri yao waliokuacha..!Shaurilo



wagumu wapi !? wakati kuna mdada nimemuona Humu alikuwa anachat na mbalizi anasura teke kama huwa anakunywaga lotion ""






Mm cjaachwa jamaniShauri yao waliokuacha..!
Hii inaitwa paka kala nyau na nyau kala paka.![]()
HahahahahaHivi abj lini alikuwa na mume
Yaani kukupenda ndio kukukosea heshima?Mm cjaachwa jamani
Halafu umenikosea heshima jamani
Acha kikwende jamaniYaani kukupenda ndio kukukosea heshima?
Kweli....
Naona unapiga teke kikombe cha maji jangwani
karibu mtoto mzuri....aisee...kumbe upo...online roho yote na isikia imetulia sasa "" kama suruali yenye mfuko uliowekewa pesa """
Alright...Acha kikwende jamani
Haya endelea jamaniAlright...
But i will keep insisting...! My heart is after you
karibu mtoto mzuri....aisee...kumbe upo...online roho yote na isikia imetulia sasa "" kama suruali yenye mfuko uliowekewa pesa """



kumbe kina shamma mpo wengi, asantee nimekaribiawallahi napokuona najihisi "" kama mtalii aliyemuona twiga "" mbuganikumbe kina shamma mpo wengi, asantee nimekaribia
Karibuu sanaWanyakyusa..
Wasafa..
Nakuja kwenu hukooo
Sio niendeelee tuu, this has no end.Haya endelea jamani