Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Nimefanyaje jamani young mmUmeanza mambo yako
Nimefanyaje jamani young mmUmeanza mambo yako
Hahaha,kwanini sasamuoga sana anasema eti mm namuogopa young
umeanza....tuache wenyew na mahaba Yetu...makapuku " hatubaguani ...hasara roho pesa makaratasi ""




uzuri ananisikiliza sana
Mh maeneo yapi hayoSio kweli. Najua yapo "maeneo yako" unapiga kelele haswa!
amnaaaa...bwana"" yaani unapenda hela kama mfuko wa konda...tulia usinirushie ndege wangu...wkati bado hajaingia hata kwenye tundu...Hilo makapuku ni jina tu sio kwamba watu ni masikini hapana jamani tuko na mahela yetu unataka mbebez uwe na mahela ya kumuhudumia
hahaha umemuona eehh "" yeye pesa tu ..kama vile amezaliwa sokoni ...khaaaa







Haaaah. Haaaah. Haaaah. Haaaah. Huvuti lkn MOSHI wa wavutaji umekuathiri wewe!Haha hahaaa..I bet hayo maeneo itakuwa ni kipindi ambacho wezi wanapompora ..au nimekosea mkuu""?
Huyu mwanamke kama sio mchaga ni bahati,anapenda sana pesa.hahaha umemuona eehh "" yeye pesa tu ..kama vile amezaliwa sokoni ...khaaaa
Haha hahaaa..I bet hayo maeneo itakuwa ni kipindi ambacho wezi wanapompora ..au nimekosea mkuu""?




wananipora nn
Ndio nilikuwa namuuliza unamuogopa ana nii mbona hana shida ndio ugomvi ulianzia hapoHahaha,kwanini sasa
ha haaa....mkuu hapa ndio nimepewa ruksa Jana kutoka milembe..eti wanadai kuwa nimepona nirudi nyumbaniHaaaah. Haaaah. Haaaah. Haaaah. Huvuti lkn MOSHI wa wavutaji umekuathiri wewe!
Wewe mwanamke muda wote unawaza mapesa tu.Nimefanyaje jamani young mm
amnaaaa...bwana"" yaani unapenda hela kama mfuko wa konda...tulia usinirushie ndege wangu...wkati bado hajaingia hata kwenye tundu...





na kweli napenda mahela mm mpaka kuna mda najishtukia au nilizaliwa pembeni kulikuwa na mahela
Huyu mwanamke kama sio mchaga ni bahati,anapenda sana pesa.







halafu young hata vielement vya uchaga sina
yaani utadhani alifikwa na upungufu wa damu "" halafu hospital wakamuongezea damu ya marehemu gavana balali ....Huyu mwanamke kama sio mchaga ni bahati,anapenda sana pesa.
HahahaNdio nilikuwa namuuliza unamuogopa ana nii mbona hana shida ndio ugomvi ulianzia hapo
Wamekukosea sana.ha haaa....mkuu hapa ndio nimepewa ruksa Jana kutoka milembe..eti wanadai kuwa nimepona nirudi nyumbani
Shauri yako