Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Sawasawa mkuu nenda uelewane naeloooh "" cha mtu huliwa na mtu mkuu"" Chuma huliwa na kutu""
Sawasawa mkuu nenda uelewane naeloooh "" cha mtu huliwa na mtu mkuu"" Chuma huliwa na kutu""
Woooooozeeeer halafu umesahau kumwambia na maziwa unayo


maziwa ya cowbellyhaya ndio maneno sasa "* ambayo macho yangu yalikuwa na shauku ya kuyaona....kongole mkuuSawasawa mkuu nenda uelewane nae
Salama KABISA. Niitie jirani nimweleze yalionisibuSlim za wewe jamani
Poa mfikishie salam,mimi najiamini ndio mana hata ule uzi sijahangaika kuufungua![]()





mmeukimbia kumbe halafu mbona haunishkuru kwa kazi kubwa niliyofanya hujui tu kazi niliyoipata mpaka akakubali
Kwendraaaaa shamma ako na mabebez wengi mpaka auntie espySHAMMA kamuwahi yule
Usijali ngoja akujeafadhali umemuita...maana nilikuwa nahisi moyo "" wangu umeshaanza kusoma "" speed mita za upendo dhidi Yke ""..wallahi huku raha""
Hahhaha sio ya ngombemaziwa ya cowbelly
Yani nisameh bure tummeukimbia kumbe halafu mbona haunishkuru kwa kazi kubwa niliyofanya hujui tu kazi niliyoipata mpaka akakubali
,ila yule mwanamke anamisimamo sijapata kuona mimi,unajua nilishangaa sana mana hata sikutegemea kabisauneona Anataka kunifanyia kauzibe eehh"" au kwakuwa nimesema Nina njaa..so anaona kiwa sistahiki kupata mlimbwende...maana hamkawii kusema kuwa mkono mtupu haulambwiHivi abj lini alikuwa na mume
haya ndio maneno sasa "* ambayo macho yangu yalikuwa na shauku ya kuyaona....kongole mkuu

Kwendraaaaa shamma ako na mabebez wengi mpaka auntie espy
Achana kabisa na yule mtu mpaka kukubali nimefanya kazi kubwa sana mpaka alivyoona nimekasirika ndio akakubali tunabembelezana tu swala hilohiloYani nisameh bure tu![]()
![]()
,ila yule mwanamke anamisimamo sijapata kuona mimi,unajua nilishangaa sana mana hata sikutegemea kabisa
Lakini mahela lazima uwe nayouneona Anataka kunifanyia kauzibe eehh"" au kwakuwa nimesema Nina njaa..so anaona kiwa sistahiki kupata mlimbwende...maana hamkawii kusema kuwa mkono mtupu haulambwi
Unaniweza mke mwee basi tu unajitoa ufahamu![]()
![]()
![]()
![]()
Ckuwez mke mweee
Ctaki mdogo wngu alale njaa mkuu ndo maana nnamteteauneona Anataka kunifanyia kauzibe eehh"" au kwakuwa nimesema Nina njaa..so anaona kiwa sistahiki kupata mlimbwende...maana hamkawii kusema kuwa mkono mtupu haulambwi
Makapuku tuwe nahela za nini sasa?? umeanza ugonjwa wako na wewe ""!!Lakini mahela lazima uwe nayo
Upo kazin mamaAchana kabisa na yule mtu mpaka kukubali nimefanya kazi kubwa sana mpaka alivyoona nimekasirika ndio akakubali tunabembelezana tu swala hilohilo