Inog01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,294
- 1,968
ingekuwa unaa mua,hakuna ambaye angekwendaKufa hapana mkuu, tuendelee kuishi
ingekuwa unaa mua,hakuna ambaye angekwendaKufa hapana mkuu, tuendelee kuishi
Salama tu, habari ya kazi?wanakilinge cha makapuku habarini
Naamini hivyo, hata mim cmchukiiYes lakini ni mtu safi pia
Kumbe unaogopa kufa.Kufa hapana mkuu, tuendelee kuishi
Chocho.Mkuu kando ndo wapi hapo?
Sisi kwetu sukari ipo yani wala haitakaa ije kutokea ikaadimika, uwe unakuja kunywa chai huku

bado tunalisongesha gurudumu la ubishi wa maishaSalama tu, habari ya kazi?
Kama ilivyo desturinaona jahazi linazidi songeshwa
Ndio mkuu vijana wanatumia kaul mbiu ya moto ni ule ulenaona jahazi linazidi songeshwa
Kwa mara ya kwanza NIMEKOSA SUKARI YA KUNUNUA TANGU nizaliweZa mida wakuu, natafuta sukari jamani huku mtaani kwangu imeadimikaa
Sawa mkuu ila huyu jambilo ni wa kuuliza mara mbili mbili hauchelew kubadilisha maanaChocho.

Vipi leo hujakamkanyaga mtu??poa sana,hofu hko utokako
Nzuri mkuu swalamawanakilinge cha makapuku habarini
Cha bure huwa kina gharama zilizojificha, huwa sipendelei bure kabsaaNasikia wanataka kuigawa bure subiri mpaka mgao ukianza mkuu
Sawa mkuu ila huyu jambilo ni wa kuuliza mara mbili mbili hachelew kubadilisha maana![]()
![]()
![]()
na kama ilivoadaKama ilivyo desturi
Acha utani mkuu.Kwa mara ya kwanza NIMEKOSA SUKARI YA KUNUNUA TANGU nizaliwe
Siogopi ila sipendi kutanguliaKumbe unaogopa kufa.
Mkuu upo salama???Salama brother.
Habari ya jioni.