Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
.....wimbo huu utakujia baada ya dakika , tuseme 45 toka sasa
Kwani hukuelewa like some LA One kuhusu ngao ya maji na ya kdongeAt least leo nimeconfirm kuwa Lyon lee ndio Lee empire...
Okay, tuendeleze soga
Tumo umenza kuandika kinyakyusa eeh?Kwani hukuelewa like some LA One kuhusu ngao ya maji na ya kdonge
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] duhTumo umenza kuandika kinyakyusa eeh?
Muziki wa Mdhamini: Kuelewa ni Mchakato
Usije ukadhani unaweza kuelewa mara moja tu kama hujataka kutulia na ikiwezekana kuuliza maana, huu ndo ujumbe wa mdhamini wetu wa leo Transcend ambaye anaamini kabisa kuelewa ni mchakato. Anapenda songi hili limburudishe wake wa ubani waliyekuwa wakinyonyana ndimi kwenye fence na kuteleza wakati akimpelekea mafuta (msidhani huwa sisomi) naye si mwingine ni Sakayo
Asante Obe UbarikiweMuziki: andika Barua, SLP
Nikusalimie na kukutakia usiku mzuri, ndo kawaida yangu mara zote maana naamini kujuliana khali ni jambo zuri kwa nafsi yangu. Ni jambo zuri kwa nafsi yangu kwa sababu wewe mbali ya kuwa kapuku, bado ni rafiki yangu na hivyo nakuchukulia kama nafsi yangu ya pili ya kwanza ikiwa ni mimi na ya pili ni wewe.
Nilimwandikia barua anko wangu leo, sababu ya kumuandikia ni kuwa kila nikimwandikia email katibu muhutasi wake ndo anazisoma na kunijibu yaani huwasilisha ujumbe kwa anko wangu Lyon Lee ambao sijakusudia. Sasa kumaliza uzia nimeona niandike barua, ujue unapoandika barua na kuituma kwa njia ya posta , mlengwa ndo anaifungua. Jaribu uone. Dhumuni la barua ilikuwa ni malalamiko ya mama mjumbe kwamba anko kamtelekeza baada ya kumtekelezea mwili wake.
Muziki sasa, tuburudike na nikukumbushe tu kuwa ukitaka kufikisha ujumbe kwa mtu mwenye dhamana kwenye taasisi yoyote, andika barua.
Waoooo asante Obe kwa muzki na T wa Sakayo kwa kuchagua umenigusa ba nimewamis sana salaam kwa binti yangu mpendwa SakayoMuziki wa Mdhamini: Kuelewa ni Mchakato
Usije ukadhani unaweza kuelewa mara moja tu kama hujataka kutulia na ikiwezekana kuuliza maana, huu ndo ujumbe wa mdhamini wetu wa leo Transcend ambaye anaamini kabisa kuelewa ni mchakato. Anapenda songi hili limburudishe wake wa ubani waliyekuwa wakinyonyana ndimi kwenye fence na kuteleza wakati akimpelekea mafuta (msidhani huwa sisomi) naye si mwingine ni Sakayo
Tumekumiss sana mama mchungaji..Waoooo asante Obe kwa muzki na T wa Sakayo kwa kuchagua umenigusa ba nimewamis sana salaam kwa binti yangu mpendwa Sakayo
Muziki wa Mdhamini: Kuelewa ni Mchakato
Usije ukadhani unaweza kuelewa mara moja tu kama hujataka kutulia na ikiwezekana kuuliza maana, huu ndo ujumbe wa mdhamini wetu wa leo Transcend ambaye anaamini kabisa kuelewa ni mchakato. Anapenda songi hili limburudishe wake wa ubani waliyekuwa wakinyonyana ndimi kwenye fence na kuteleza wakati akimpelekea mafuta (msidhani huwa sisomi) naye si mwingine ni Sakayo
Hata silijuiHivi haupo lile group la whatsapp la makapuku?
Napenda slim body, vibonge wanamfaa shululuUzi wa vibonge wepesi kwani unapenda vibonge
Mzee wa chura buller ndio mukongo au sijaelewa
Ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Kamtoa baba mukongo
Yes kumbuka ulisema au nifukue kaburi?Hivi nyie kwani tuliwatangazia tumeachana au
Ukiangalia I'd ya empire haipo so ni direct lyon ndiye LeeAt least leo nimeconfirm kuwa Lyon lee ndio Lee empire...
Okay, tuendeleze soga
Swty
Wivu umewajaaa
Yes love..
Umeshibaa dear ??
Wivu wa nini tena? Tatizo lao nini?
No mpenzi sijala bado
Wanakuzenguaa tuu ....si wanajua ulivo mrembo
Nyagei kuja hapa ufafanue
Kwa nini swty
Mwambie Nyagei nimekuja
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Namalizia kazi kwanza
Jitajihid ule mamy
Sawa baby
Habari zenu ndugu wa familia pendwaMnanichanganya tu mie
1yeye ndio kaniacha anajua mimi siwezi muacha
Ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] Yes kumbuka ulisema au nifukue kaburi?
Wapi ABJ?
AmenTumekumiss sana mama mchungaji..
Barikiwa