BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
NAWAPENDA SANA NINYI WANANGU NAJISIKIA FAHARI KUWA NANYI NAJUA MUNGU ANAMAKUSUDIAmeeen
NAWAPENDA SANA NINYI WANANGU NAJISIKIA FAHARI KUWA NANYI NAJUA MUNGU ANAMAKUSUDIAmeeen
NAWAPENDA SANASANATunakupenda pia mama yetu [emoji8]
HahahaHa hahahhaha, khatari sana shehe wangu haya mambo usidhani ni rahisi. Hawa wanaomsukuma utasema wao ndo majasiri kumbe nao wakiwa mbele ndo wataanza kuilaumu CCM
Natamani nimuoneSi bado hajafikisha miaka 6...
Basically, atakuwa na mama yake..
Amen [emoji7] [emoji120] [emoji120][emoji524]TUOMBE
Mungu wetu na Baba yetu Asante kwa Neema yako kutupa siku hii ya leo TAREHE 28 FEBRUARI 2018 Ni Furaha yetu kuona Unazidi kuachilia Neema yako ya Uzima. Tumenyenyekea mbele zako Mungu kuonesha utii wetu kwako. Tunaomba Baraka zako,futa majonzi,masikitiko kwa kila Moyo ulio-kata tamaa na kuachilia Furaha na Pendo litokalo kwako. Kutana na haja za mioyo yetu na kuzidi kutufundisha Kweli yako, Bariki kutoka na kuingia kwetu. Mikono yetu ikakuzalie matunda yadumuyo. Fungua Uchumi wetu,asiye na kazi apate kazi. Mungu wakumbuke wagonjwa na wengine wote wanaotafuta kukuona, wakutane na uso wako. Mioyo yetu ikutukuze wewe sasa na hata milele AMINA.
SIKU NJEMA,JUMATANO YA BARAKA
Hivi haupo lile group la whatsapp la makapuku?Natamani nimuone
Amina[emoji524]TUOMBE
Mungu wetu na Baba yetu Asante kwa Neema yako kutupa siku hii ya leo TAREHE 28 FEBRUARI 2018 Ni Furaha yetu kuona Unazidi kuachilia Neema yako ya Uzima. Tumenyenyekea mbele zako Mungu kuonesha utii wetu kwako. Tunaomba Baraka zako,futa majonzi,masikitiko kwa kila Moyo ulio-kata tamaa na kuachilia Furaha na Pendo litokalo kwako. Kutana na haja za mioyo yetu na kuzidi kutufundisha Kweli yako, Bariki kutoka na kuingia kwetu. Mikono yetu ikakuzalie matunda yadumuyo. Fungua Uchumi wetu,asiye na kazi apate kazi. Mungu wakumbuke wagonjwa na wengine wote wanaotafuta kukuona, wakutane na uso wako. Mioyo yetu ikutukuze wewe sasa na hata milele AMINA.
SIKU NJEMA,JUMATANO YA BARAKA