Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,605
Ndio maana ukawepo mtaasisi always upo kwenye right position....ha ahahahahaha! Fukua tu mtaasisi, nakuunga mkono. Nitakuonesha na mengine ambayo umeyasahau
Ndio maana ukawepo mtaasisi always upo kwenye right position....ha ahahahahaha! Fukua tu mtaasisi, nakuunga mkono. Nitakuonesha na mengine ambayo umeyasahau
Amen[emoji524]TUOMBE
Baba MUNGU Wa mbinguni katika jina la YESU KRISTO , tunazileta shukrani zetu kwako eee Baba ,, tunasema ahsante kwa kutuamsha salama ,leo ALHAMIS tarehe 1 MACHI 2018, Mungu umetulinda usiku mzima na mwezi mzima wa pili.
Umetuponya na kutuokoa na kazi za adui yetu ibilisi ,,zaidi ya yote BWANA YESU umetupatia ushindi juu ya maadui zetu ,
Ahsante BWANA YESU , kwa Neema yako , kwa upendo wako , na rehema zako
MUNGU WETU UISHIE MAHALA PA JUU KABISA KATIKA JINA LA YESU tunaomba Mungu utusamehe dhambi na maovu yetu , utupe Neema ya kuwasamehe wale walio tukosea sisi pia ,
Tunaomba utuongoze katika njia zako eee Bwana , tusaidie tupate kuyatimiza mapenzi yako Mungu ,
Tutangulie maofsini na katika njia zetu BWANA YESU ,
Neno lako likawe ni mwanga na Nuru ya miguu yetu ,, tunaomba BWANA YESU ukafanyike Baraka kwetu , ibariki siku hii ya Leo BWANA ukaifanye itutumikie ,
Bwana Yesu tunaomba utuponye katika kila jambo ,damu yako itufunike na kutulinda ,, ROHO MTAKATIFU TUFUNDISHE KATIKA KWELI YOTE NA HUO UKAMILIFU ,
Tumeomba yote na kuamini katika jina la YESU KRISTO ,,Amen[emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374]
NAWATAKIA MWEZI WA BARAKA WA MACHI KWETU SOTE.
Roger that bossNishaona...
Same problemMods mkuje huku, sipati notifications wiki mbili sasa!!
Kwema kabisa bibie, naona leo unakwenda kulipa kisasi kwa Pep GuardiollaJamani kwema hapa
Hapana huo ni udongo wa juu tuHaya ni makaburi umeyafukua
Ni mfano tuVipiii wewe na makaburi yako
Ulisema umeachwa na empire, Lyon alikuwa na ABJNilisema niniiii na kuhusu ABJ kafanya niniii
Slim hawahitaji minguvu kama ya tembo, ni mwendo wa slow down na mambo yanakuwa [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Una nguvu za kuwahimili slim body vibonge ndio vinakufaa
Aiseeee kwa hiyo nilivyosema nimeachwa ndio Lee akawa na abj basi sawa eleweni hivyohivyo mnavyoelewa hiyo mada naomba tuifunge tuUlisema umeachwa na empire, Lyon alikuwa na ABJ
Lakini sasa mambo ni moto baada ya kurudi kwa D's daddy
Mi nilishazoea. Nina karibu miezi sita sasa.Mods mkuje huku, sipati notifications wiki mbili sasa!!
Jaman Lyon Lee akija atakusahau mambo anayoyapenda haya chocolate colour
Mimi sijambo shemeji wangu
Sawa shemeji umejimbia wapi maana huonekani
Woo-hoo kumbee ndo udhaifu wake ee
Salama tu kaka akee nina alerg na hizo shikamoo
Ndio udhaifu wake huo ngoja akuje
[emoji144]Naona umeshangilia kama vile nakuona
I promise you honey sitatokomea tena na nikitokomea nakuaga mapema[emoji8]
Ayoo ndo manenoo na mm sitafutii tena mchepukoo
Thats ma baby buu[emoji182] [emoji182] [emoji182]
Njoo kulee kwetu kwanza
Nakuja
[emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji8] [emoji8] [emoji8]
Shida ni ninii kwanii kuhusu abj au kuhusu Lee me sikuelewi tulishawambia mwanzo hiyo id alikua anayetumia sio Lee empire sikuelewi na quotes zako me sitaki usiniquote pls[emoji144]![]()
KwemaaaaJamani kwema hapa
Shunie kuachwaAiseeee kwa hiyo nilivyosema nimeachwa ndio Lee akawa na abj basi sawa eleweni hivyohivyo mnavyoelewa hiyo mada naomba tuifunge tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukisikia nje ndaniii ndp ya leoKwema kabisa bibie, naona leo unakwenda kulipa kisasi kwa Pep Guardiolla
Una moyo aisee broMi nilishazoea. Nina karibu miezi sita sasa.
Nimeachwa tufunge hii mada kwani kuachwa kwangu we kuna kuathiri vipiii kwa mfanoShunie kuachwa
Closed case
Shunie kurudi kwa D's daddy continue