Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,061
Hivi vita inafanyikia sayari gani?
Manake unaweza ukakuta kuna us na NK za mars..[emoji41]
Hivi vita inafanyikia sayari gani?
Wewe sio yule namba inaishia na 13?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nko hapaHi
Kipoozeo cha shululu
[emoji57] [emoji57] akuuuWewe sio yule namba inaishia na 13?
Ruka ruka tuu...[emoji57] [emoji57] akuuu
Nko hapa
Karibu sana shemelaRuka ruka tuu...
Ila niko mbeya...!
Kwahiyo mama unataka kusema mukongo hujamsahau kweli na hayo maneno ya obeHahahaha jamani mmh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimefanyaje mm jaman mamaMwee mwanangu wewe
Uzi wa vibonge wepesi kwani unapenda vibongeKuna uzi wako sijui upi Baba D kasema ni ule wa vibonge sijui ni kweli au uongo
Mzee wa chura buller ndio mukongo au sijaelewaMtafute buller mzee wa chura
Kamtoa baba mukongoNaomba kujua ndio umeshakuwa baba yetu?
Hivi nyie kwani tuliwatangazia tumeachana auHivi D atakuwa ana umri gani ikiwa wazazi wake wako separated? Nani yupo nae
Si bado hajafikisha miaka 6...
Basically, atakuwa na mama yake..
[emoji120][emoji120][emoji524]TUOMBE
Mungu wetu na Baba yetu Asante kwa Neema yako kutupa siku hii ya leo TAREHE 28 FEBRUARI 2018 Ni Furaha yetu kuona Unazidi kuachilia Neema yako ya Uzima. Tumenyenyekea mbele zako Mungu kuonesha utii wetu kwako. Tunaomba Baraka zako,futa majonzi,masikitiko kwa kila Moyo ulio-kata tamaa na kuachilia Furaha na Pendo litokalo kwako. Kutana na haja za mioyo yetu na kuzidi kutufundisha Kweli yako, Bariki kutoka na kuingia kwetu. Mikono yetu ikakuzalie matunda yadumuyo. Fungua Uchumi wetu,asiye na kazi apate kazi. Mungu wakumbuke wagonjwa na wengine wote wanaotafuta kukuona, wakutane na uso wako. Mioyo yetu ikutukuze wewe sasa na hata milele AMINA.
SIKU NJEMA,JUMATANO YA BARAKA
KhaaaaaaaNatamani nimuone
Nipo mm hivi tulishaweka tangazo humu tumeachana au watabiri hao
Makapuku kuna groupHivi haupo lile group la whatsapp la makapuku?
Muulize baba paroko ...Hivi nyie kwani tuliwatangazia tumeachana au
Hata sielewii kabisa ......Nipo mm hivi tulishaweka tangazo humu tumeachana au watabiri hao
Kwahiyo mlimaanishaje etiMuulize baba paroko ...
Yeye ameuliza swali mimi nikajibu..ila sijasema mmeachana