Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nk
d28509fbfc7b4f0e222ab26c86c14399.jpg
Hivi vita inafanyikia sayari gani?

Manake unaweza ukakuta kuna us na NK za mars..[emoji41]
 
[emoji524]TUOMBE
Mungu wetu na Baba yetu Asante kwa Neema yako kutupa siku hii ya leo TAREHE 28 FEBRUARI 2018 Ni Furaha yetu kuona Unazidi kuachilia Neema yako ya Uzima. Tumenyenyekea mbele zako Mungu kuonesha utii wetu kwako. Tunaomba Baraka zako,futa majonzi,masikitiko kwa kila Moyo ulio-kata tamaa na kuachilia Furaha na Pendo litokalo kwako. Kutana na haja za mioyo yetu na kuzidi kutufundisha Kweli yako, Bariki kutoka na kuingia kwetu. Mikono yetu ikakuzalie matunda yadumuyo. Fungua Uchumi wetu,asiye na kazi apate kazi. Mungu wakumbuke wagonjwa na wengine wote wanaotafuta kukuona, wakutane na uso wako. Mioyo yetu ikutukuze wewe sasa na hata milele AMINA.

SIKU NJEMA,JUMATANO YA BARAKA
[emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom