Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
hivi kweli ni mimi? Ilikuwa ishu ya Raimundo eeeh..... hahaha nilikuwa frustrated... ila nilijibu Ahsante sio sawa bhana.Umeona lakini??!!!
Sio kwa sawa ile jamani

hivi kweli ni mimi? Ilikuwa ishu ya Raimundo eeeh..... hahaha nilikuwa frustrated... ila nilijibu Ahsante sio sawa bhana.Umeona lakini??!!!
Sio kwa sawa ile jamani

Kwahiyo kumbe ulikuwa unamlenga bamdogo anguUmeona lakini??!!!
Sio kwa sawa ile jamani
Huyu mtoto anazingua.Hahaa...
Mimi sipo
Hahaha.Ba mdogo wako huyooo
Nani huwa anaingia whatsapp kwa wiki mara moja..Umeona lakini??!!!
Sio kwa sawa ile jamani

hivi kweli ni mimi? Ilikuwa ishu ya Raimundo eeeh..... hahaha nilikuwa frustrated... ila nilijibu Ahsante sio sawa bhana.
![]()
![]()



sakayo ana kumbukumbuHahahahivi kweli ni mimi? Ilikuwa ishu ya Raimundo eeeh..... hahaha nilikuwa frustrated... ila nilijibu Ahsante sio sawa bhana.
![]()
![]()
Tehteh uzi wa couples ule kipindi kile nipi moto muda wote nipo online.Dash bamdogo umenikumbusha shunie mgeni jaman ebu ngoja siku niirudishe kigauni cha chui
Jaman nipepeni basiHuyu mtoto anazingua.
Haha ila sakayo ni rafiki mzuri saana.Kwahiyo kumbe ulikuwa unamlenga bamdogo angu
Fakalava jaman nimemmiss mpaka nimemtafuta pm leoTehteh uzi wa couples ule kipindi kile nipi moto muda wote nipo online.
Nishamwambia kama anataka nimpeleke ngorongoro tuu...Huyu mtoto anazingua.


Unajua kwanini sikusahau... baadae niliumia kwanini nilikujibu vile... hahah ila unakumbukumbu hatari I cant you.Hahaha
Kumbe unakumbuka eeh..
Mzee wa busara ndo alipotea mazimaaaa!!!
Sanaaa jaman sakayo wanguHaha ila sakayo ni rafiki mzuri saana.
Msalimie ukimwona.Fakalava jaman nimemmiss mpaka nimemtafuta pm leo
Watamuua kule.Nishamwambia kama anataka nimpeleke ngorongoro tuu...
Akirudi hata hatokuwa anahadithia hivyo vitu![]()
Akinijibu nitampa salaam zako asiponijibu tena kisuper star ndio basi tenaMsalimie ukimwona.