Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HahahaKwahiyo pm yangu ndio husomi au ndio umeshakuwa star dada
Nshajibu mbona mdogo...
Ati star

HahahaKwahiyo pm yangu ndio husomi au ndio umeshakuwa star dada

HahahaWalai.... ili mnifanyie ya kokobanga... le akili kubwaz?
Mie siangaliagi hayo makituNauliza nataka kujua kuhusu kingozi au nitumie picha ba mdogo sitaiangalia mie nitampa sakayo aiangalie kipo me nitafumba macho
Walai.... ili mnifanyie ya kokobanga... le akili kubwaz?



hapana bamdogo tunaanzaje jaman inabaki siri yetuWewe kweli hauwezi omba hiyo kitu nilijua shunie tu.Mie siangaliagi hayo makitu
Khaaa wacha nikapige picha basihapana bamdogo tunaanzaje jaman inabaki siri yetu

Ahahhaha mana mastar huwa hawajibu pm we mpm bamdogo Daby hapo itakula kwako utasubiri mpaka Yesu ajibuHahaha
Nshajibu mbona mdogo...
Ati star![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ahahhaa urudi basiKhaaa wacha nikapige picha basi![]()
![]()
Ahahhaha mana mastar huwa hawajibu pm we mpm bamdogo Daby hapo itakula kwako utasubiri mpaka Yesu ajibu
HahahaAhahhaha mana mastar huwa hawajibu pm we mpm bamdogo Daby hapo itakula kwako utasubiri mpaka Yesu ajibu
Kweli jaman hivi kwa nini hamjibu pm zetu mimi huwa nawajibu mpaka machizi![]()
![]()
Wewe ni chizi.... eti hawajibu pm.
Wewe huwa unajibu?
KabisaaaWewe kweli hauwezi omba hiyo kitu nilijua shunie tu.
He he usiniambie yameshakukuta kwa mastarHahaha
Usinikumbushe jamani
Sio kila PM ni ya kujibu ila ni vizuri kujibu mtu huwezi jua anahitaji nini kwako.Kweli jaman hivi kwa nini hamjibu pm zetu mimi huwa nawajibu mpaka machizi
Wewe kweli hauwezi omba hiyo kitu nilijua shunie tu.
Ahahahha shunie ndio ana niniiiKabisaaa
Huwa napata kizunguzungu
Kweli kabisa usiache kunijibu basiSio kila PM ni ya kujibu ila ni vizuri kujibu mtu huwezi jua anahitaji nini kwako.
Akuuuuu ustar na me wapi na wapi![]()
![]()
Mwenyewe star
Mie au weye... daily nakusumbua sijui ndiyo vusalamu vyangu hauvitaki?Kweli kabisa usiache kunijibu basi