Makapuku Forum

Makapuku Forum

Khaaa. Tumekulana wapi sasa auntie ndio wanatanianaga mkwe espy mbona mda tu kwahiyo hujawai muona

Ni mmasai huwaga ananiita mama yeyoo na me namwita baba yeyoo ujue kapanick kweli akaniambia shunie nina wivu utafkili nakujua na me nipo hivyo hata kwenye maisha yangu kwahiyo nishakuacha umebaki rafiki mwema kama ubuyu hujaupenda niambie nikununulie mwingine rafiki yako akija nitampa sawa rafiki basi mm akiniita rafiki mbavu sina
Rafiki

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom