Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Poa hukuHahaha
Veeepe hukooo

sijui pande hizo nikuchekeshe habari za baba yeyoo si umekumbuka wa ubuyu ahhhha
Poa hukuHahaha
Veeepe hukooo

sijui pande hizo nikuchekeshe habari za baba yeyoo si umekumbuka wa ubuyu ahhhhaHahahaPoa hukusijui pande hizo nikuchekeshe habari za baba yeyoo si umekumbuka wa ubuyu ahhhha
Baba yeyoo yupo znz huwaga tunamsumbua na espy athletes ubuyu akisema nimpe nani hatuna wa kumpaHahaha
Nakumbukaaa my dear


ndio siku niliotoa no basi kweli akamtafuta na ubuyu akampa ukanifikia majuzi ikabidi nimfate pm kumshkuru


talaka ipo pale pale acha nichekeHahahaBaba yeyoo yupo znz huwaga tunamsumbua na espy athletes ubuyu akisema nimpe nani hatuna wa kumpa
Kuna rafiki yangu yupo znz huwa analetaga biashara huku dar kuna siku nimekutana na baba yeyoo jukwaa la mchanganyiko nikampa no kwenye thread ya watu akipata ubuyu awasiliane na huyo mtu
Ile siku uliyomtaniandio siku niliotoa no basi kweli akamtafuta na ubuyu akampa ukanifikia majuzi ikabidi nimfate pm kumshkuru
Akacheka akaniambia ujue shunie me nina wivu kweli hata maisha yangu halisi niko na wivu sanatalaka ipo pale pale acha nicheke
Ubuyu nakutumia pakti mbili kesho kwenye raha leo ngoja nifanye mpango wa kumpa mtu leo nimeletewa pakti 6 hivi ukuje pm ushukie muheza auHahaha
Kwa hiyo ubuyu umekula mwenyewe
HahahaUbuyu nakutumia pakti mbili kesho kwenye raha leo ngoja nifanye mpango wa kumpa mtu leo nimeletewa pakti 6 hivi ukuje pm ushukie muheza au
Mmh umeanza kujidai mfyuuu akaniambia kuanzia leo nakuita rafiki msalimie dada ako me nacheka sina mbavu namwambia sawa rafikiHahaha
Asante mwaya!! Sikulagi hizo vituu!!


HahahaMmh umeanza kujidai mfyuuu akaniambia kuanzia leo nakuita rafiki msalimie dada ako me nacheka sina mbavu namwambia sawa rafiki![]()
Khaaa.Hahaha
Kweli meno yanaumiagaa, ingekuwa keki poa!!
Hivi mlijuana lini mpaka mkulane bila mie kujua??



Tumekulana wapi sasa auntie ndio wanatanianaga mkwe espy mbona mda tu kwahiyo hujawai muona 

umebaki rafiki mwema kama ubuyu hujaupenda niambie nikununulie mwingine rafiki yako akija nitampa sawa rafiki basi mm akiniita rafiki mbavu sinaSawa bwanaKhaaa.Tumekulana wapi sasa auntie ndio wanatanianaga mkwe espy mbona mda tu kwahiyo hujawai muona
Ni mmasai huwaga ananiita mama yeyoo na me namwita baba yeyoo ujue kapanick kweli akaniambia shunie nina wivu utafkili nakujua na me nipo hivyo hata kwenye maisha yangu kwahiyo nishakuachaumebaki rafiki mwema kama ubuyu hujaupenda niambie nikununulie mwingine rafiki yako akija nitampa sawa rafiki basi mm akiniita rafiki mbavu sina
Mfyuuuuu zakoSawa bwana
HahahaMfyuuuuu zako
Mwendo wa kulwa na ma-moran tuu..Sawa bwana

Mfyuuuuu zako
Hahaha
Mwenyewe
Hajanikula jaman mkeo kasababisha nimeachwaMwendo wa kulwa na ma-moran tuu..
Yaani ninyi![]()



sitaki kukumbuka niliachwa mbele yake wala simsingiziiHahahaMwendo wa kulwa na ma-moran tuu..
Yaani ninyi![]()
Mmasai alikuacha?Hajanikula jaman mkeo kasababisha nimeachwasitaki kukumbuka niliachwa mbele yake wala simsingizii
Mmasai yupi jaman baba yeyoo ndio tulikua tunamzungumzia na sakayo TMmasai alikuacha?
Ngoja nikutafutie mmoja akukule hebu...Mmasai yupi jaman baba yeyoo ndio tulikua tunamzungumzia na sakayo T

Namtafutia dada yako njemba moja ije kumbamiza kidogoHahaha
Mbavu zanguNgoja nikutafutie mmoja akukule hebu...
Hakikisha hufwi kabla ya kulwa na mmasai...![]()





nimecheka sana yaan nataka kuona kingozi jaman baba yeyoo ndio ameshaniacha nilitegemea atanikula nimchungulie kingozi