Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Karanga za ninii mm nataka korosho mie halaf kama mama mchuchu hajazipenda si yeye tu kwani me na mama tunashare ulimi na meno...korosho nilileta nikamuonjesha mama mchuchu, hakuzipenda na nikajua nawe hutozipenda. Nikaziuza nikarudi Mtwara.
Jinunulie karanga kwanza, zisipokupalia then nijulishe nikuletee kiroba kizima


