Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Balimi tena jaman hapana dada sijafikia huko jamanBasi balimi
Balimi tena jaman hapana dada sijafikia huko jamanBasi balimi
Hahahanampenda sana Connor na The list mambo zao
wale jamaa kibokoUnampenda sana dada..Nimefanyaje mm jaman
Hana mwingine ana shunie tu na TMpende hivyo hivyo...
Si unae mmoja tuu kwani..! Huwezi kumpata shunie mwingine
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ufichwe kabisaaa



nikifichwa unakuja kunitafuta na kunisumbua nikuje jfKhaaaaSio ujinga nimesema mlane jaman yaan we mkuleee tu dada angu mpaka maji aite mma akitoka hapo akwende kwenye feni kupulizwa
Makaveli humpati huku makaveli anapatikana jukwaa la chini huko ndio kaweka kambi
Atakusuta nani sasa jamanSitaki kusutwa mie
Msalimie saaanaUsimtaje basi anaweza kuingia mda wowote kuanzia sasa halaf ghafla usinione
Yaan usiache kumkula Dada angu yaan umkule we mkuleee tu akisema kachoka mwambie shunie kasema nikukule tuuu halaf vuta picha unakulana na mtu mnapendana woiiii

Naona babaSakayo unaona hii ruhusa niliyopewa?
Bembea tu aunt, ila kumbuka anko wangu yupo pembeni anakuangalia usianguke
![]()





Nimemuona hukuuuEwaaaa
Nilikutana nae chit chat kaja na new i'd yale macho jaman nigawe tu kwake
yeah ndo huyo huyo mjomba, unakumbuka hapa ulizimia mapigo yake ukaondoka naye kisirisiri. Mjomba ulitisha, hukuona kinywaji kingine cha kumnunulia isipokuwa bia ya polisi, Safari lager
![]()

Mods naomba notificationsPoyeee
MmmhBalimi tena jaman hapana dada sijafikia huko jaman
Nilimuona kule one day...ila mimi nilileft shem..Makaveli humpati huku makaveli anapatikana jukwaa la chini huko ndio kaweka kambi