Makapuku Forum

Makapuku Forum

Naona siku hizi makapuku wameshuka morali sasa sielewi ni kuuzoea ukapuku ama kuna makapuku ambao ukapuku wao umeisha!
President Bitoz kama vipi muwape vyeti makapuku wanao hitimu wasiwe wanaondoka kimya kimya kama Dr.Slaa alaf waje kuibukia upande wa pili sio vyema
Elewa si kila anayekuja hapa ni Kapuku, Makapuku waliosajiliwa wanaeleweka na wapo kwenye chart mda wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom