Makapuku Forum

Hamna bwana kwahiyo alikua anawapiga waliokula hela zake aisee
 
Hamna bwana kwahiyo alikua anawapiga waliokula hela zake aisee

Teh teh teh teh unabisha nini sasa ??
Mzee mwenzangu alichanganyikiwa sana baada ya kukosa.
Akifikiria zile pesa za Waarabu alizokopa, akaamua kutulizia maumivu kwa watu waliokula pesa zake za kampeni!
Zile kampeni walimfanyia fitna sana Mzee Mahiga wakampa mzee wa TFF...
 
nimecheka sana kwani na wewe unaishi iringa anaendeleaje kwa sasa ndio mana huwa nakupenda una vituko sana halaf huwa nakufatilia sana kuna ile I'd yako nyingine ileee nabaki nayo moyoni unaijua unatukanaga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…