Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sawa dingi ila tambua narudi hapo home nikiwa na vx na nakuja kurekebisha hiyo nyumba
Sasa ulitegemeaa mm nirekebishee wakat wewe zako unaongaa ...ulikataa shule veta ukapakimbiaa sasa hiyo vx utaipakii make kile kivist changu si nilikuwa nakubaniaa usikiendeshee ukirudiii nakuwekeaa full tank ukiendesheee
 
Sasa ulitegemeaa mm nirekebishee wakat wewe zako unaongaa ...ulikataa shule veta ukapakimbiaa sasa hiyo vx utaipakii make kile kivist changu si nilikuwa nakubaniaa usikiendeshee ukirudiii nakuwekeaa full tank ukiendesheee
unataka kuweka full tank ili na wewe uendeshe vx langu sitaki maana hako kavits mpe mama
 
62a7997581130e90dc5d1b250d7bbb70.jpg

Goood morning ma friends
 
Tafasiri Unavyoweza: Maji, Tumia, Yatunze

Yahifadhi vizuri, usione yanatiririka mferejini ukadhani yatakuwepo hata usipohakikisha vyanzo vyake vinakuwa katika hali inayoruhusu yatiririke kuja kwako na uyatumie kwa kunywa, kuoga, kilimo, viwanda na michezo ya maji.

Ninaandika kipengele hiki nikikutaka urejee ya kinachoendelea huko Afrika ya Kusini, jiji kubwa kabisa kwa sasa wanapimiana maji kwenye vibaba. Ndiyo, shida imesababishwa na ukame lakini je matendo yetu sisi hayachochei kutokea kwa ukame siku moja!?
Jiulize tu na wala usione uwepo wa mabwawa, maziwa na mito mikubwa ukadhani tuko salama kama tukiendekeza uharibifu wa mazingira. Tunaweza kuwa salama leo endapo tu tunajifikiria wenyewe na leo yetu bila kujali kuwa tuna watoto na wajukuu wanaokuja kwa kasi isivyo mfano. Tafasiri Unavyoweza.

Wakati tukisisitiza hapa kazi tu hebu kama jamii tujitathmini na tutambue kuwa kuongelea viwanda, kilimo cha viwanda na mengineyo lazima yaendane na kulinda vyanzo vya maji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom