BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Muziki: Kuishi Darasani
.....u khali gani Kapuku mheshimika, yes, wewe ambaye uko hapa na umejitoa muda wako, nguvu, akili na mali kusoma kipengele hiki cha muziki hapa jukwaani. It is almost furahiday, FYI.
Darasa naloliongelea hapa sio lile unalokumbuka ukiwa unahudhuria elimu ya msingi, seko, au chuo. Usifikirie majengo, ubao, kengele na ratiba ya vipindi, la hasha. Naongelea darasa la dunia hii tunayoishi, mazingira na mazingara. Kuishi maisha ya bila kuwahi namba, maisha ya kupigishwa magoti ukichelewa na adhabu nyingine nyingi.
Hapa naongelea darasa la dunia, darasa la kufuata sheria, darasa la kutopindisha sheria, darasa la kuwa mstaarabu, kuheshimiana na kupeana nafasi. Kifupi darasa la kuwajibika kwa sababu inakupasa.
Muziki sasa, inakaribia furahiday na wacha uburudike na hii ngoma nzuri
Tupo karibuWako wapi hao makapuku?
Love U my baby girl Mungu akubariki sana,nakumis ujue msalimie mwanangu Lee ,na mjomba wenu Obe.Asante mama anguMungu wetu azidi kukubariki
HakikaKapuku damu
Miss u more mumLove U my baby girl Mungu akubariki sana,nakumis ujue msalimie mwanangu Lee ,na mjomba wenu Obe.


mwanao Lee katekwa mama me napambana na hali yangu 

nishasahau..ndo ujitahidi kuongeza ufundi, cheti tu hakitoshi fanya certificate mjomba atatulia tuMiss u more mummwanao Lee katekwa mama me napambana na hali yangu
nishasahau
Kwendraaaa mna maana nyie mxxiuuee utatoa mauno yote na bado unachetewa..ndo ujitahidi kuongeza ufundi, cheti tu hakitoshi fanya certificate mjomba atatulia tu
Kwendraaaa mna maana nyie mxxiuuee utatoa mauno yote na bado unachetewa
Mxxiuue ebu niache mie......ufundi, ufundi, ufundi! Mambo ya veta auntie. Uutafute ufundi hata Mecca uende. Ukiona mbali mwambie anko akuelekeze alipotekwa ukachukue tuition
Oooh!will call uMiss u more mummwanao Lee katekwa mama me napambana na hali yangu
nishasahau

..ndo ujitahidi kuongeza ufundi, cheti tu hakitoshi fanya certificate mjomba atatulia tu

......ufundi, ufundi, ufundi! Mambo ya veta auntie. Uutafute ufundi hata Mecca uende. Ukiona mbali mwambie anko akuelekeze alipotekwa ukachukue tuition

ISAYA 41
Amen !!!ISAYA 41
10.USIOGOPE KWA MAANA MIMI NI PAMOJA NAWE ,USIFADHAIKE KWA MAANA MIMI NI MUNGU WAKO;NITAKUTIA NGUVU,NAAM NITAKUSAIDIA NAAM NITAKUSHIKA MKONO KWA MKONO WA KUUME WA HAKI YANGU .
USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE![]()
ISAYA 41
10.USIOGOPE KWA MAANA MIMI NI PAMOJA NAWE ,USIFADHAIKE KWA MAANA MIMI NI MUNGU WAKO;NITAKUTIA NGUVU,NAAM NITAKUSAIDIA NAAM NITAKUSHIKA MKONO KWA MKONO WA KUUME WA HAKI YANGU .
USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE![]()
Neno LA Mungu Ni Pana ndugu soma Matendo ya Mitume16:24-28 Uone kwa Maombi ya Usiku yanavyofanya kazi Paulo na Sila walipokuwa wakiomba usiku Wa Manane na Kumsifu Mungu,Mara ghafla tetemeko lilitokea na vifungo vyao kuachia na Milango ikafunguliwa,Ndugu haya Maombi nayo ya Nguvu sana!!Amen asante ubarikiwe