Makapuku Forum

Makapuku Forum

Khaaaa kwahiyo hulitakii jf si wamesema tuitane mkuu ahahhah nimekumbuka kitu kipindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikigombana na Lee tukiwa humu kapuku hatuongei anavumilia anashindwa ananiambia ninavyoona kuitana mkuu ndio inayofatia jaman
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lee kivurugeee ila umevumiliaa mengiiii ...wewe ni wa mfano ndo maana umewekwa top ile list
 
Khaaaa kwahiyo hulitakii jf si wamesema tuitane mkuu ahahhah nimekumbuka kitu kipindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikigombana na Lee tukiwa humu kapuku hatuongei anavumilia anashindwa ananiambia ninavyoona kuitana mkuu ndio inayofatia jaman

Ha hahaha, hata mimi sikuwa nafagilia kabisa kuitana mkuu, niliona ni dalili za kuanza kutapeliana tu
 
Back
Top Bottom