Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,279
- 35,641
Unataka nini kwa mfano
..ndo ujiulize sasa, kwani wewe ulikuwa unataka nini, maana mimi sijui
Unataka nini kwa mfano
Anko mbona hivo mengine siriii yetuuuu..sio penati tu mjomba watu wamepaki treni kabisa
..oh, kwanza mnaongelea mambo gani unayoyamisi kwake...nisijekuwa nimepitwa na ishu za forex
Mmh ebu ongea vizuri nielewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yale matamu uyapendayoooo
..sio penati tu mjomba watu wamepaki treni kabisa
..oh, kwanza mnaongelea mambo gani unayoyamisi kwake...nisijekuwa nimepitwa na ishu za forex




mfyuuu zako forex inaingiaje hapaKubana kuanzia jioni akirudi au na week end mambo gani hayo jaman unayokosa
Khaaaa kwahiyo hulitakii jf si wamesema tuitane mkuu ahahhah nimekumbuka kitu kipindinikigombana na Lee tukiwa humu kapuku hatuongei anavumilia anashindwa ananiambia ninavyoona kuitana mkuu ndio inayofatia jaman
lee kivurugeee ila umevumiliaa mengiiii ...wewe ni wa mfano ndo maana umewekwa top ile list
Anko mbona hivo mengine siriii yetuuuu
Na kweli wanapakiii tren kabisa tena linalowashwa kwa mkaa







Unatakaa anko ajueee...machomaaaaaaaMmh ebu ongea vizuri nielewe
Na jeans na kufuli kabisa...huwa unabana na jeans?
Khaaaa kwahiyo hulitakii jf si wamesema tuitane mkuu ahahhah nimekumbuka kitu kipindinikigombana na Lee tukiwa humu kapuku hatuongei anavumilia anashindwa ananiambia ninavyoona kuitana mkuu ndio inayofatia jaman
Unacheka utafikr mazuriiiii
![]()
![]()
![]()
![]()
lee kivurugeee ila umevumiliaa mengiiii ...wewe ni wa mfano ndo maana umewekwa top ile list



acha tu jamaan Mungu mwenyewe anajua nipo kwenye top list he he
Ya wapi sasa ya kule msimbazi mbayaaa kaukauUnatakaa anko ajueee...machomaaaaaaa
Ha hahaha, hata mimi sikuwa nafagilia kabisa kuitana mkuu, niliona ni dalili za kuanza kutapeliana tu





Ahahhh kwahiyo nisicheke hivi yule mtoto wa ngapi wa 3 au wa 4 kidume kwenye ubora wake nilimuona mitaa ya kwa dada mangeUnacheka utafikr mazuriiiii
Ile ya jf ya wenye ushawishiiacha tu jamaan Mungu mwenyewe anajua nipo kwenye top list he he
Hahahaha ya agrey sasaYa wapi sasa ya kule msimbazi mbayaaa kaukau
Ankooo...huwa unabana na jeans?