Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Nipo mimi niambie za weweNa mimi hapa
Nipo mimi niambie za weweNa mimi hapa
Nimekumis mpaka naumwaaa....Nipo mimi niambie za wewe
Mkuu shikamoo
mom kwani huwa unaifatilia
Nimekumis mpaka naumwaaa....
Vipiii bado bado??
We si uliniambia haupo jaman au mana me taa ya kwako nakuja sanaNimekumis mpaka naumwaaa....
Vipiii bado bado??
Sasa mkuu nakutafutaje jaman me nimekuamkia au kuna tatizo..unanitafuta lazima! Ngoja nishibe chapati mbili na chai hapa nirudi maana usiku wa kuamkia leo niliukongoloa mwili
Ebhu niache kwanza wewe ....ndo maana hakuoendagii....ha hahahaah, itakuwa bado bado kidogo, vumilia tu hakuna namna mjomba
Tatizo hakuna ebu nisimulie na mm kidogo mkuu...yeah, huwa anaifuatilia sana, halafu ananisimulia. Una tatizo na hilo!
Kwani mkuu we umeelewa bado ninii eti....ha hahahaah, itakuwa bado bado kidogo, vumilia tu hakuna namna mjomba
Wachaà kivurugeee wakeee ...mm sipo kweliii nakosaa yale mambo yetuuuWe si uliniambia haupo jaman au mana me taa ya kwako nakuja sana
Sasa mkuu nakutafutaje jaman me nimekuamkia au kuna tatizo
Achana naeKwani mkuu we umeelewa bado ninii eti
...tatizo lipo sana na wala halipo kwenye kuniamkia. Salamu ni nusu ya kuonana ila sassa mkuu imetokea wapi tena

Kubana kuanzia jioni akirudi au na week end mambo gani hayo jaman unayokosaWachaà kivurugeee wakeee ...mm sipo kweliii nakosaa yale mambo yetuuu
Au kukabana mpaka penatiii
Kubana kuanzia jioni akirudi au na week end mambo gani hayo jaman unayokosa
Wachaà kivurugeee wakeee ...mm sipo kweliii nakosaa yale mambo yetuuu
Au kukabana mpaka penatiii
Khaaaa kwahiyo hulitakii jf si wamesema tuitane mkuu ahahhah nimekumbuka kitu kipindi...tatizo lipo sana na wala halipo kwenye kuniamkia. Salamu ni nusu ya kuonana ila sassa mkuu imetokea wapi tena




nikigombana na Lee tukiwa humu kapuku hatuongei anavumilia anashindwa ananiambia ninavyoona kuitana mkuu ndio inayofatia jaman