shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante kipenzi changu, ugali wa kina JJ unatafutwa hivyoPole na majukumu kpenzi
Asante kipenzi changu, ugali wa kina JJ unatafutwa hivyoPole na majukumu kpenzi
Na kwako pia mkuuHeshima yako kibumbu![]()
![]()
Asante kipenzi changu, ugali wa kina JJ unatafutwa hivyo
Hahahaaaa...na vitoto vya siku hizi visivyopenda ugali, bora ujitahidi ufanye jitihada utafute wali kabisa
UbarikiweAsante sana mdau shululu kwa magazeti, shukrani BlessedHope kwa maombi ya asubuhi. Ninyi hamjui namna gani mnavyoianzisha siku kwa mafanikio makubwa.
Asubuhi njema makapuku
...na vitoto vya siku hizi visivyopenda ugali, bora ujitahidi ufanye jitihada utafute wali kabisa

Muziki: Uko Hapa Kama Sehemu ya Ufumbuzi Au Tatizo
....kuna misemo mingine bila kuiangalia kiuhalisia unaweza ukadhani ni ya kweli. Yeah, mfano, haraka haraka haina baraka, mwenye shibe hamjui mwenye njaa, kutaja michache. Ukikaa chini na ukatafakari kwa jicho lisilo na upande (objective eyes) utagundua kuwa misemo hii inauhasi na uchanya kwa kulingana na vitu kadhaa. Wote tunawajua hata kama sio sisi, tunapokuwa tumeshiba basi ndo wakati wa kuwakumbuka wenye njaa na hatuwaachi wenye shibe wenzetu wapate njaa. Hapa nawaongelea wenye shibe walioamua kusitiri matumbo yao sio wale wajinga ambao wanashiba, wanavua mashati na kumtambishia Mungu vitambi vyao.
Mwaka bado mbichi kiukweli na baadhi yetu ndo tunajipanga kurudishia pale ada za watoto wa shule zilipokwangua. Shule zimefunguliwa leo na ni hekaheka tu. Shule ina raha zake, kama wazazi, walezi na vyovyote vile basi tuungane na walimu wote katika kuhgakikisha vijana wetu wanapata elimu nzuri itakayowawezesha kutatua matatizo yanayoikabili jamiii nzima.
Muziki sasa, nimesema tushirikiane na walimu kuwapatia vijana wetu maarifa ya kutatua matatizo yanayoizunguka jamii yetu. Wasitoke shule na kuwa sehemu ya tatizo hata kama wataonekana kuwa na madaftari yenye vema za kutosha. Waje kwenye jamii wakiwa na ufumbuzi (solvers not cheaters). Sio kuja mtaani wakijidai kujua bila kuwa na ufahamu wowote kama mdau wa JF ambaye anaamini kabisa hapa MF hakuna la maana linaloendelea, ninamchukulia kama mtu mwenye nguvu zake anayeishi kwa msaada wa serikali na kwake mafanikio ni kwa wengine wafanye kazi ili yeye apate msaada zaidi (a pauper).
...na vitoto vya siku hizi visivyopenda ugali, bora ujitahidi ufanye jitihada utafute wali kabisa

Muziki: Uko Hapa Kama Sehemu ya Ufumbuzi Au Tatizo
....kuna misemo mingine bila kuiangalia kiuhalisia unaweza ukadhani ni ya kweli. Yeah, mfano, haraka haraka haina baraka, mwenye shibe hamjui mwenye njaa, kutaja michache. Ukikaa chini na ukatafakari kwa jicho lisilo na upande (objective eyes) utagundua kuwa misemo hii inauhasi na uchanya kwa kulingana na vitu kadhaa. Wote tunawajua hata kama sio sisi, tunapokuwa tumeshiba basi ndo wakati wa kuwakumbuka wenye njaa na hatuwaachi wenye shibe wenzetu wapate njaa. Hapa nawaongelea wenye shibe walioamua kusitiri matumbo yao sio wale wajinga ambao wanashiba, wanavua mashati na kumtambishia Mungu vitambi vyao.
Mwaka bado mbichi kiukweli na baadhi yetu ndo tunajipanga kurudishia pale ada za watoto wa shule zilipokwangua. Shule zimefunguliwa leo na ni hekaheka tu. Shule ina raha zake, kama wazazi, walezi na vyovyote vile basi tuungane na walimu wote katika kuhgakikisha vijana wetu wanapata elimu nzuri itakayowawezesha kutatua matatizo yanayoikabili jamiii nzima.
Muziki sasa, nimesema tushirikiane na walimu kuwapatia vijana wetu maarifa ya kutatua matatizo yanayoizunguka jamii yetu. Wasitoke shule na kuwa sehemu ya tatizo hata kama wataonekana kuwa na madaftari yenye vema za kutosha. Waje kwenye jamii wakiwa na ufumbuzi (solvers not cheaters). Sio kuja mtaani wakijidai kujua bila kuwa na ufahamu wowote kama mdau wa JF ambaye anaamini kabisa hapa MF hakuna la maana linaloendelea, ninamchukulia kama mtu mwenye nguvu zake anayeishi kwa msaada wa serikali na kwake mafanikio ni kwa wengine wafanye kazi ili yeye apate msaada zaidi (a pauper).
bora kabisa