kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,481
JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.
Ni baraka na mapenzi ya mwenyezi Mungu,wengi hawajaiona siku ya leo
JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.
Namshukuru Mungu nimeamka salama, vipi kwa upande wako?
Weekend ilienda poa kwani Mbeya jana kulikua na ki mvua mpaka mida ya jioni, ilikua ni fursa ya kushinda nyumbani wakati najiandaa kwenda kupigika kulijenga taifaNafurahi kusikia umeamka poa.
Upande wangu niko poa kabisa, likizo imeisha sasa najiandaa na kuingia kwenye ujenzi wa taifa tu. Asante kwa kunijulia hali.
Vipi wikend ilikuwaje kwa upande wako?
Weekend ilienda poa kwani Mbeya jana kulikua na ki mvua mpaka mida ya jioni, ilikua ni fursa ya kushinda nyumbani wakati najiandaa kwenda kupigika kulijenga taifa
Tubarikiwe sote![]()
![]()
ubarikiwe mama mchungaji
Ubarikiwe Obe ,tumuombe Mungu atusaidie tuwe na bidii ya kumtafuta...asante kwa kutukumbusha kuhusu Jpili ya kwanza 2018. Na zaidi asante kwa ku(ni)tuweka katika maombi na sala zako za kila wakati. Amen
JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.
Ni baraka na mapenzi ya mwenyezi Mungu,wengi hawajaiona siku ya leo[/QUOTE]
Haleluiya[/QUOTE]Ni baraka na mapenzi ya mwenyezi Mungu,wengi hawajaiona siku ya leo
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Mtakatifu, Mfalme wa wafalme,Baba wa Milele,Mshauri wa Ajabu,Mungu mwenye Nguvu Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo JU JUMAPILI YA KWANZA YA MWAKA ,7 JANUARI 2018 salama wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza sisi ni nani Baba Mtakatifu
Tunakushukuru kwa sababu Upendo wako ni mkuu kwetu, Kwa sababu unatulinda na kutuongoza, Kwa sababu unatupigania, Kwa sababu Unaweza yote,Unajua yote,Upo kila mahali. Mungu wetu tunaomba usinyamaze kila tukuitapo sisi peke yetu hatuwezi.
Tupiganie katika kila Jambo,Tufundishe,tushauri na kuturudi tunapokukosea. Mungu bariki Afya,Kazi,kusudi,Uchumi na Imani zetu.
Waponye wagonjwa wote Baba majumbani na mahospitalini,
fariji wafiwa wote wape faraja yako popote walipo,angalia wajane,wagane,
yatima Baba wape hitaji la mioyo yao,wasaidie wote wanaopitia changamoto mbalimbali.
Wasaidie wasafiri wote kokote waendako majini,nchi kavu na angani waende na kurudi salama..ponya mioyo yote inayotaabika kwa huzuni ,taabu na dhiki ,mateso tuongezee imani Baba tukuangalie wewe tu maana wewe Baba hukawii wala huwahi jibu lako ni ndiyo.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu.
Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.
JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.
barikiwa pia momMiss u binamu...asante kwa kutukumbusha kuhusu Jpili ya kwanza 2018. Na zaidi asante kwa ku(ni)tuweka katika maombi na sala zako za kila wakati. Amen
Nawe pia mum barikiwa![]()
![]()
barikiwa pia mom
Miss u binamu
Hili jina huwa silielewi kabisa hasa nikilitafasiri, hebu kibumbu njoo unieleweshe jina lako lina maana gani?

KAMUSI YA KISWAHILI INA MAJIBU..KAMA NI KISWAHILIHili jina huwa silielewi kabisa hasa nikilitafasiri, hebu kibumbu njoo unieleweshe jina lako lina maana gani?
Naomba soma kwenye kamusi..nashindwa kulielezea kwa maneno yangu....mbona unasmile BH, hizi lugha za kibantu bhana.
Wewe unalielewaje jina lake kwa mfano nikikuuliza na ukaamua kunijibu