Kuelekea kuumaliza mwaka 2017
Ndugu zangu wana kf mmekuwa watu wema kwangu nikiingia najickia amani coz mmekuwa kama ndg kwangu sometimes nje ya jf maisha yanakuwa full stress lakini ninapokutana nanyi naona kama nmepunguza mzigo hivyo nitumie wasaa huu kuwashukuru wote na kuwasihi muendelee na moyo huu kwa mwaka tunaotarajia kuanza hapo baadae
Shukrani za pekee zmuendee my hubby Shululu aka baba wawili
Mwisho ombi kwa binamu Obe nichagulie kibao kizuri kicndkize salam hizi za mwaka mpya kwa wanakf
Nawapenda sana
...mimi bhana tangu nitoe jino la hekima (wisdom tooth) sielewi mengi. Ngoja aje mtu pekee anayenipenda humu na bahati nzuri ni shangazi yangu Shunie , atanielewesha maana anajua akili yangu imejificha mbali kama nyeti