Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Embe ng'ong'o, embe mzizi,embe sindano.....Basi hata 3 tuu
Nipe hela hiyoooo
Embe ng'ong'o, embe mzizi,embe sindano.....Basi hata 3 tuu
Nini sasa husna!?
KigamboniHuyo chifu aje wapi?!
Umenikumbusha "embe kikogwa"![]()
![]()
![]()
Taja ntakupa robo yake sababu swali halikuwa lako..Oyaaa nitaje mie unigee hiyo msumbazi?! Vyuma vimekaza banaa
Afu wee unaweka dau kubwa kwa jambo dogo

Sasa kwa hizo 3 ndio nikupe sh ngapi!?Embe ng'ong'o, embe mzizi,embe sindano.....
Nipe hela hiyoooo
Ayubu22:28
Ayubu22:28
Ndio nilikuwa naamka mda mleHusna upo marekani nini..
Moningi saa hizi![]()
![]()
nikajua bado moningiTaja ntakupa robo yake sababu swali halikuwa lako..
Najua shunie ake ni wa kishua hawez ndio maana nimeweka dau kubwa, ila wewe mtoto wa uswazi wewe![]()
![]()
![]()

Sio kama, ndio ukweli wenyewe huo ndugu yangu.Sawa km kweli![]()
![]()
Wee nae umemganda bh... Kwani bh pekee ndio kigamboni kwao, hata sisi wengine kigamboni ni kwetu pia.Ili muende kwa bh![]()
![]()
Ndio nilikuwa naamka mda mle![]()
nikajua bado moningi
... Bangi hizo zinakupeleka puta.