Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Embe ng'ong'o, embe mzizi,embe sindano.....Basi hata 3 tuu
Nipe hela hiyoooo
Embe ng'ong'o, embe mzizi,embe sindano.....Basi hata 3 tuu
Nini sasa husna!?[emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]
Husna upo marekani nini..Moningi tu yuuuu pia
KigamboniHuyo chifu aje wapi?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenikumbusha "embe kikogwa"[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Aah.. masikin hata fikra sinaUna muwinda bh
Taja ntakupa robo yake sababu swali halikuwa lako..Oyaaa nitaje mie unigee hiyo msumbazi?! Vyuma vimekaza banaa
Afu wee unaweka dau kubwa kwa jambo dogo
Sasa kwa hizo 3 ndio nikupe sh ngapi!?Embe ng'ong'o, embe mzizi,embe sindano.....
Nipe hela hiyoooo
Ndio nilikuwa naamka mda mle[emoji4] [emoji4] nikajua bado moningiHusna upo marekani nini..
Moningi saa hizi[emoji23] [emoji23]
Ili muende kwa bh[emoji23] [emoji23]Kigamboni
Saaana yaani[emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaonekan ulikuwa wazila kweli utotoni mwako..
Sawa km kweli[emoji4] [emoji4]Aah.. masikin hata fikra sina
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Taja ntakupa robo yake sababu swali halikuwa lako..
Najua shunie ake ni wa kishua hawez ndio maana nimeweka dau kubwa, ila wewe mtoto wa uswazi wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio kama, ndio ukweli wenyewe huo ndugu yangu.Sawa km kweli[emoji4] [emoji4]
Hukuugua kifua!!?Saaana yaani[emoji1] [emoji1]
Wee nae umemganda bh... Kwani bh pekee ndio kigamboni kwao, hata sisi wengine kigamboni ni kwetu pia.Ili muende kwa bh[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ... Bangi hizo zinakupeleka puta.Ndio nilikuwa naamka mda mle[emoji4] [emoji4] nikajua bado moningi