Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
MmhJamaani
Karibuni Christmas tusheherekee pamoja...
MmhJamaani
Karibuni Christmas tusheherekee pamoja...
Nyama choma umezikosa au mm ndio nimezikosa halaf hivi ningekuwa na mheshimiwa ningekuwa na wazo la kukutafuta jaman
si ndo maana hujanitafuta ??
Hapana nilikua mwenyewe kusita kwangu ilikua kama upo au haupo![]()
![]()
![]()
![]()
si ndo maana hujanitafuta ??
KumbeeHapana nilikua mwenyewe kusita kwangu ilikua kama upo au haupo
Ndo umeandika niniMasharti yote mbona ntayatetimizaa
Hutaki au
Khaaaa![]()
![]()
bora nimekoseaa
KheeeKhaaaa
Me ninavyopenda mambo ya kula ila kwa ninavyokujua hukawii kusema mwaliko huo upo sumbawangaHutaki au
Simu yako ilikuwa busy sana shemelaSasa kwa nini haujanitafuta shemela au uliogopa ningekuomba hela ya sikukuu
Mama mchungaji za jioniUbarikiwe
Shemeji weyeNimesikipu mie
Mgumu kuelewaHapana nilikua mwenyewe kusita kwangu ilikua kama upo au haupo

Amen mama mtumishi,, barikiwa na weweUbarikiwe
Aksanteh! mimi nimesha karibia atiiJamaani
Karibuni Christmas tusheherekee pamoja...
Asante my dearJamaani
Karibuni Christmas tusheherekee pamoja...
Njema za siku?Mungu akubarikiMama mchungaji za jioni
AsanteAmen mama mtumishi,, barikiwa na wewe