Makapuku Forum

ZABURI 4

4.Mwe na hofu
wala msitende dhambi, Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.

8.Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara,Maana wewe Bwana peke yako Ndiwe unijaliae kukaa salama

USIKU MWEMA DAMU TAKATIFU YA YESU ITUFUNIKE

SHALOM..SHALOM
 
Asante Obe ubarikiwe
 
Asante Obe Ubarikiww
 
Nimemaliza kuangalia soka, wameishia kuchonga madroo tu na mimi kama kawaida katika kuelekea Krismasi leo natupia nyimbo mbili za sikukuu hii nzuri
...huyu hapa ni jirani yetu


...na hawa ndo kule snow inapoanguka sasa hivi

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…