Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hebu vunga shem..!Lee haimfai hiyo hiyo tuzo ni yako kabisa bila kupiga kura



Ujue mimi napenda makapuku wawe na amani.
Hebu vunga shem..!Lee haimfai hiyo hiyo tuzo ni yako kabisa bila kupiga kura



Sawa.![]()
![]()
mwezi wa kwanza mambo yatakuwa poa
Yeyote anaejtoleaSawa.
Sasa font ferd ataleta nani? Japo nimekuwa mtoro sana humu
Naona labda mganga wake kamwambia komaa na shunie hivi viben 10 siku unajistukia pic yako ipo kwa avatar yake

Sasa mm nakusababishia vipi makapuku kutokuwa na amaniHebu vunga shem..!
Ujue mimi napenda makapuku wawe na amani.
He he naona nimekufurahisha Ngoda karibu sana umetutembelea kwetu
Potezea basi shemSasa mm nakusababishia vipi makapuku kutokuwa na amani
Sisi ni wazima. Habari yako TumosaHabari wapendwa,nmewamiss kweli
Mm mzima
PouwaSisi ni wazima. Habari yako Tumosa
Ahahha salam zimefika achana na viben10 unajishtukia tu upo kwa avatar yake ebu niambie unataka kufanya mapinduzi gani hayoHaha haha umenifanya nimecheka ujue![]()
![]()
eti picha yako utaikuta kwenye avatar yake, tuhurumieni basiii.
Nimewatembelea nataka kufanya mapinduzi flani hivi.![]()
mpe salamu zangu Sakayo.
Ahhha moud bana
Asanteee bora umekuja ungenipa kazi ya kukupigia na kukupa salamSijambo mimi
HeheheAsanteee bora umekuja ungenipa kazi ya kukupigia na kukupa salam