Tuko poa madam, mambo vipiMko poa?!
Good morning!!
Usihangaishe kichwa kujiuliza good morng ipi ni hii hii ya asubuhi njema wala sio ile ya dawa ya kifua.. maana akili nyingi nazo tatizo, wazungu walisema too much(2 march) is harmful, mweny akili akiona bango limeandikwa usikojoe hapa yee anakunya kabisa, eeh si kaambiwa hakuna kukojoa tu..
Asubuhi njema ndugu zangu nawapenda mnoo, maana asiyempenda ndugu yake anaemuona, hawez kumpenda mungu asiyemuona.
Kwa bi maana hiyo nasema nawapenda saana ndugu zangu, zile baraka za mola wetu mtukufu ziende kwetu sote.. jambo kubwa ni tupendane, na tuwapende wazazi wetu, tuwafanyie ihsan wazaz wetu, imeandikwa pepo ya mwenyezi mungu ipo chini ya nyayo za mama zetu, naomba tuwapende saana mama zetu, achana na hawa waduwanzi wazungu eti kuna kitu kinaitwa siku ya mama.. mpende na umuoneshe upendo wa juu kila siku, mthamini na muheshimu na umjali. kingine ni tufanye saana ibada, tusamehe wale tuliowakosea nasi tupate kusamehewa... Naihusia nafsi yangu na zenu pia
Siku njema nawapenda mnooo, sijawahi penda hiv maishani, upendo nilionao kwenu watu ambao siwafahamu kwa picha unazidi hata baadhi niwajuao kwa macho..
Muziki: Chana Shati, Likizo Inaanza
...u khali gani Kapuku mwenzangu, ninajiaminisha uko sawa sana na umekuwa na wakati mzuri siku ya leo. Upande wangu leo ni kama ilivyokuwa jana na juzi, niko likizo na rasmi kabisa nimeanza kuhesabu leo kama siku yangu ya kwanza ya likizo. Ndo maana sikuonekana wikend maana tulikuwa na party ya kufunga mwaka ambao haujaisha. Yeah, mapumziko maana kumtumikia baniani mwaka mzima si mchezo na hasa ukizingatia kuwa kwa sisi watu wa hand to mouth paycheck tunajua kabisa December ndo tunagundua tunalipwa kidogo sasa.
Eeeh, kuna miezi miwili ya mwaka huwa tunajikuta tunasema matajiri zetu wanatulipa kidogo, June na December na ikifika mwezi wa 12 ndo akili zinakaa sawa kujua kwamba malipo tunayopewa ni kidogo, yaani ...the employer is pretending to pay us and you know what we like to do, we pretend to work. Jino kwa jino, jifanye unanilipa nami najifanya kufanya kazi. Sio kwa waajiriwa tu, hata ndani kama gia haziingia kila mmoja anafake kuanzia chumbani hadi sebuleni hii yote ni kuwa sikukuu na bills zimependana against us.
Muziki sasa, pamoja na yote, lakini December ni mwezi mtamu sana, ni mwezi wa kula na kuliwa, kulala na kulaliwa na ni wmezi kama mwaka jana ulipata mapacha basi unajitahidi kufanya kwa tahadhairi ili mapacha wasitokee tena, so unafanya kwa tahadhari, ukijiona unataka kufikia mshindo unasubiri aanze kwanza yeye. Najua unajua nachosema, likizo hii chana shati vaa vest, kuvaa kiprofesheno nyumbani ni kuchafua hewa ndani ya nyumba

Asante Obe kwa music![]()
Bado kidogo tu, by January nitakuwa free...shukrani mdau, vipi michakato imepungua au bado unaimalizia?
Bado kidogo tu, by January nitakuwa free
Poa mkuu, mambo vipiNiaje mdau Moud
Poa mkuu, mambo vipi
Kwa sasa naelekea kuwa poa...mdogo mdogo, asante kwa kunitakia kheri. Wewe uko poa kuelekea wiki la Krismasi
UbarikiweGood morning!!
Usihangaishe kichwa kujiuliza good morng ipi ni hii hii ya asubuhi njema wala sio ile ya dawa ya kifua.. maana akili nyingi nazo tatizo, wazungu walisema too much(2 march) is harmful, mweny akili akiona bango limeandikwa usikojoe hapa yee anakunya kabisa, eeh si kaambiwa hakuna kukojoa tu..
Asubuhi njema ndugu zangu nawapenda mnoo, maana asiyempenda ndugu yake anaemuona, hawez kumpenda mungu asiyemuona.
Kwa bi maana hiyo nasema nawapenda saana ndugu zangu, zile baraka za mola wetu mtukufu ziende kwetu sote.. jambo kubwa ni tupendane, na tuwapende wazazi wetu, tuwafanyie ihsan wazaz wetu, imeandikwa pepo ya mwenyezi mungu ipo chini ya nyayo za mama zetu, naomba tuwapende saana mama zetu, achana na hawa waduwanzi wazungu eti kuna kitu kinaitwa siku ya mama.. mpende na umuoneshe upendo wa juu kila siku, mthamini na muheshimu na umjali. kingine ni tufanye saana ibada, tusamehe wale tuliowakosea nasi tupate kusamehewa... Naihusia nafsi yangu na zenu pia
Siku njema nawapenda mnooo, sijawahi penda hiv maishani, upendo nilionao kwenu watu ambao siwafahamu kwa picha unazidi hata baadhi niwajuao kwa macho..
Muziki: Chana Shati, Likizo Inaanza
...u khali gani Kapuku mwenzangu, ninajiaminisha uko sawa sana na umekuwa na wakati mzuri siku ya leo. Upande wangu leo ni kama ilivyokuwa jana na juzi, niko likizo na rasmi kabisa nimeanza kuhesabu leo kama siku yangu ya kwanza ya likizo. Ndo maana sikuonekana wikend maana tulikuwa na party ya kufunga mwaka ambao haujaisha. Yeah, mapumziko maana kumtumikia baniani mwaka mzima si mchezo na hasa ukizingatia kuwa kwa sisi watu wa hand to mouth paycheck tunajua kabisa December ndo tunagundua tunalipwa kidogo sasa.
Eeeh, kuna miezi miwili ya mwaka huwa tunajikuta tunasema matajiri zetu wanatulipa kidogo, June na December na ikifika mwezi wa 12 ndo akili zinakaa sawa kujua kwamba malipo tunayopewa ni kidogo, yaani ...the employer is pretending to pay us and you know what we like to do, we pretend to work. Jino kwa jino, jifanye unanilipa nami najifanya kufanya kazi. Sio kwa waajiriwa tu, hata ndani kama gia haziingia kila mmoja anafake kuanzia chumbani hadi sebuleni hii yote ni kuwa sikukuu na bills zimependana against us.
Muziki sasa, pamoja na yote, lakini December ni mwezi mtamu sana, ni mwezi wa kula na kuliwa, kulala na kulaliwa na ni wmezi kama mwaka jana ulipata mapacha basi unajitahidi kufanya kwa tahadhairi ili mapacha wasitokee tena, so unafanya kwa tahadhari, ukijiona unataka kufikia mshindo unasubiri aanze kwanza yeye. Najua unajua nachosema, likizo hii chana shati vaa vest, kuvaa kiprofesheno nyumbani ni kuchafua hewa ndani ya nyumba