Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Kho kho kho
...utajikoholesha sana hadi koo likwanguke kama barabara za kokoto
Kho kho kho
Mie ndio maana sipendi kukaa karibu na mama mkwe, waweza jikuta unabambia bure.. mopao hapa alipiga ngoma.
Asee kumbe uko mjini!!!, karibu kichakani mkuu..oh, sasa mbona nilikuwa sijui!? Inakuwaje ninakuwa wa mwisho kujua kuwa yanaliwa porini huko huko.
Kwa hiyo kama yanaliwa huko porini, sisi wa mjini hayatufai, eti eeh
Akili zangu zina akila zake zinazojitegemea....hahahahaaa. Akili zako zinajijua zenyewe hakyanani
Nani hao mkuu?Wanakuja wenyewe.
Wanaonunuliana hayo matunda, sie wengine hatuna wa kutununulia wala kuwanunulia, si wamekremisha hayo ni matunda ya love dove...Nani hao mkuu?
Majukumu ni poa, nashukuru kwa baraka zakoNjema za majukumu ubarikiwe
Wanaonunuliana hayo matunda, sie wengine hatuna wa kutununulia wala kuwanunulia, si wamekremisha hayo ni matunda ya love dove...
chukua hapa mkuu
Ahahahhh huyo gigy money kibokooo atakuwa na harufu kama ya wolperLabda giggy money ana bakteria au baada ya kwichi kwichi akishamwagia maji ya uzima anatoa harufu kali.![]()
![]()
He heYa uvugu uvugu bhana..
Gigy money hatakiwi maji ya moto kabisa acha kumzeesha pia analegea akili za usiku hizi watoto samahani...maji ya moto labda kama unaoshea nguru isinuke ila papa utamzeesha. Hii kwa mujibu wa yule mshauri nasaha tuliyekutana naye kwenye semina wiki jana, si mnakumbuka?
Wanaonunuliana hayo matunda, sie wengine hatuna wa kutununulia wala kuwanunulia, si wamekremisha hayo ni matunda ya love dove...




PambanaaaaAmina..usiku mwema nduguMajukumu ni poa, nashukuru kwa baraka zako
Sipambani ng'o najituliza, yanini kung'onga meno kwenye mpambano ambao unajua kushinda ni majaaliwa ya maulanaPambanaaaa

Giggy money nguru sio papa tena.Ahahahhh huyo gigy money kibokooo atakuwa na harufu kama ya wolper
Hazina sumu kweli hizi, maana ukiona mpaka nyani anamruhusu mjomba moo kuchukua ndizi mbivu ujue kuna walakini..![]()
![]()
chukua hapa mkuu
![]()
Hapo wewe,kisu na spidi yako tu..Haya kazi kwenu wahenga![]()