makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,505
Kigamboni tunaitaje hii mkuu...huyu ni sangara aliyekamilika sio degere.
Kigamboni tunaitaje hii mkuu...huyu ni sangara aliyekamilika sio degere.
Kigamboni tunaitaje hii mkuu
Wacha tuzisakeUtafiti: Msaada
Nimeangalia data za magari yaliyoandikishwa hapa Tanzania, nimejaribu kuingia webpage ya TRA ambao ndo madhamana wa uandikishaji magari, sijaona idadi ya magari yaliyosajiriwa na yapo Tanzania. Nimeangalia NBS pia sijaona
Ikabidi niingia webpage ya WHO ambako nimekuta data za 2011 na zinaonesha magari yaliyosajiriwa hapa nchini ni 977,468 ikihusisha magari madogo 378,485, malori 70,254 na mabasi 41,625 idadi iliyobaki kuunda laki 9.8 inajumuisha pikipiki na vyombo vya moto matairi mawili na matatu.
Kama kuna mdau ana data za hivi karibuni anaweza kuziweka hapa ninapenda kufahamu kuhusu kitu.
Usiku mwema wadau
Kesho ntadamkia hapo kupata kujuzwa....pale Lebanon ndo wana majina mazuri au pale kijiji cha wavuvi jirani na wanapokusanya chokaa
Kesho ntadamkia hapo kupata kujuzwa.
Wacha tuzisake
Usingizi umebebwa na mbayu wayu..
Jaribu kuwaandikia barua pepe....nilitegemea TRA wawe na data mkononi yaani ukibofya tu unazipata kumbe majanga matupu na anuani wanatoa ya posta P.O Box, naamini nimejitahidi kutaka kuwasiliana nao ila kwa hili la kuwaandikia barua ya stamp wasahau
Hapana ndugu yangu hapa ndio basi, hauwez kuja mpaka mida ya alfajiri hiv, najijua nikiwa katika hali kama hii....vuta kitabu usingizi utakuja tu
Aahh.. ile siiamin sana, wao kila siku ni kibua tu, ugali wa muhogo hawana....kuna ile hotel pale tu unapovuka ndo wanaweza kuwa wanajua
Nimepuliza za kutosha lakin wapi.. nisije nikalanduka bure mtoto wa bimkubwa mie....vuta kitabu usingizi utakuja tu
TUOMBE
Muziki: Mdhamini Unfollow
Ni kwa udhamini wa aunt yangu ambaye upendo wangu kwake ni oneway traffic, unaenda tu haurudi, ila kimoja cha msingi anachojua ni kuwa furaha yake ndo furaha yangu mimi na mama yangu. Tuburudike na udhamini wa our very own one and only shortie no mkorogo mbagala rangi tatu Shunie
Hivi huu wimbo hauna dedication? Labda alisahau ngoja nimuite makaveli10 aulize kama kadedicatiwa yeye
AminTUOMBE
Mwenyezi Mungu Mtakatifu, Mfalme wa wafalme,Baba wa Milele,Mshauri wa Ajabu,Mungu mwenye Nguvu Asante kwa kutufikisha siku njena hii ya leo Alhamisi Desemba 7, 2017 salama
Tunakushukuru kwa sababu Upendo wako ni mkuu kwetu, Kwa sababu unatulinda na kutuongoza, Kwa sababu unatupigania, Kwa sababu Unaweza yote,Unajua yote,Upo kila mahali. Mungu wetu tunaomba usinyamaze kila tukwitapo sisi peke yetu hatuwezi.
Tupiganie katika kila Jambo,Tufundishe,tushauri na kuturudi tunapokukosea. Mungu bariki Afya,Kazi,kusudi,Uchumi na Imani zetu.
Waponye wagonjwa wote Baba majumbani na mahospitalini,fariji wafiwa wote wape faraja yako popote walipo,angalia wajane,wagane,yatima Baba wape hitaji la mioyo yao,wasaidie wote wanaopitia changamoto mbalimbali.
Wasaidie wasafiri wote kokote waendako majini,nchi kavu na angani waende na kurudi salama..ponya mioyo yote inayotaabika kwa huzuni na dhiki ,tuongezee imani Baba tukuangalie wewe tu maana wewe Baba hukawii wala huwahi jibu lako ni ndiyo.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu.
Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.
SIKU NJEMA .DAMU YA YESU ITUFUNIKE![]()
Muziki: Mdhamini Unfollow
Ni kwa udhamini wa aunt yangu ambaye upendo wangu kwake ni oneway traffic, unaenda tu haurudi, ila kimoja cha msingi anachojua ni kuwa furaha yake ndo furaha yangu mimi na mama yangu. Tuburudike na udhamini wa our very own one and only shortie no mkorogo mbagala rangi tatu Shunie
Hivi huu wimbo hauna dedication? Labda alisahau ngoja nimuite makaveli10 aulize kama kadedicatiwa yeye
Muziki: Mdhamini Unfollow
Ni kwa udhamini wa aunt yangu ambaye upendo wangu kwake ni oneway traffic, unaenda tu haurudi, ila kimoja cha msingi anachojua ni kuwa furaha yake ndo furaha yangu mimi na mama yangu. Tuburudike na udhamini wa our very own one and only shortie no mkorogo mbagala rangi tatu Shunie
Hivi huu wimbo hauna dedication? Labda alisahau ngoja nimuite makaveli10 aulize kama kadedicatiwa yeye
Ni bora..![]()
![]()
![]()
Shululu! Vitu hv jirani.
ww ndo unaeniharibia mume jamani