Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Fanta pasheniiiiNikuletee kinywaji gani au ndio unanicheka nilivyo
Fanta pasheniiiiNikuletee kinywaji gani au ndio unanicheka nilivyo
Aahh.. mkuu yameisha, usije kumkirupua tena, mie simo.Muhimu asipasuke
Karibu jisikie huruOK, nimeona viti wazi nilidhani kuna walionyanyuka kisha warudie viti vyao. Nitatafuta kimoja nikalie nisikize hotuba zenu wakuu
Karibu juice.
Wala mm nampa tahadharAahh.. mkuu yameisha, usije kumkirupua tena, mie simo.
Ahahahh ebu nitumie kwenye mpesaMapaund yenyewe umegoma kuja kuyachukua.
Inakufata ulipoFanta pasheniiii
Lala unono maka akeeKwaherini ndugu zangu, muwe na usiku mwema.

ukumbatie mito yako vizuri
Udhamini hujaulipiaaBinamu obe naomba nyimbo ya tiwa savage ft wizkid bad
...blaza ulichokula leo na kesho ule ili hizi busara ziendelee kuwepo, sio kama anko wangu yeye akiamka tu anaenda kusukutua chooni unategemea ataongea jambo usikasirike, thubutuuuUnanionaje kwanza shunie, ama unanichukuliaje.. kwamba na mimi nina akili fupi kiasi cha kufanya hayo, why ufikiri hvyo, kwani mimi nimekamilika sana kiasi ukifika utaniona mkamilifu sina kasoro.. binadamu tumeumbwa hvyo ukose kasoro, umejiumba wewe.. nmefahamiana na watu kadhaa humu jf, wengine ni vituko mnoo, lakin sijawahi kufikiri kufanya upuuzi huo.
Ila isifunguliweeInakufata ulipo
Tatizo sio pesa nataka nyimbo kama haiwezekani msiwekeUdhamini hujaulipiaa
Anko yupi sasa...blaza ulichokula leo na kesho ule ili hizi busara ziendelee kuwepo, sio kama anko wangu yeye akiamka tu anaenda kusukutua chooni unategemea ataongea jambo usikasirike, thubutuuu
Asanteeeee
Kwani ikifunguliwa ndio niniIla isifunguliwee
Utakuwa unatukomesha woteWaenjoy salama ndio siweki tena muwe na Amani ya Bwana
Binamu obe naomba nyimbo ya tiwa savage ft wizkid bad