Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Inaweza kuwekwa au isiwekwe make anko leo katekwaKwahiyo ukipitia kwako ndio nyimbo siwekewi au inakuaje tena
Inaweza kuwekwa au isiwekwe make anko leo katekwaKwahiyo ukipitia kwako ndio nyimbo siwekewi au inakuaje tena
Basi sihitaji msiniwekeeInaweza kuwekwa au isiwekwe make anko leo katekwa
mbavu zangu mm ni bonge lakini sio wa hivyo jamaan mpaka mtumbo umeshuka
Asante binamu uwe na usiku mwemaMuziki: Tamka Sawasawa Andika Tofauti
...nataka nikupe siri moja kuhusu kesho, najua ulikuwa hujui na kama ulikuwa unajua basi sio mbaya nikishare na wasio na taarifa. Si unajua information is power wanasemaga wanaoongea lugha zaidi ya hii tunayoipenda. Kwa taarifa yako tu, kesho ni Jumatano. Na hii kesho ni siku nzuri kujiandaa na siku inayofuata na siku inayofuata ikifika ujue kambisa Ijumaa imekaribia. Siku juu ya siku.
Asante makaveli10 na aunt yangu asiyenipenda Shunie kwa kutusogoza mchana na wakati huu, ninyi ni watu poa sana na tunawapenda, well, nisiwasemee wengine, mimi nawapenda na mnalijua hilo. Kwa makapuku wote, mjue uwepo wenu huwa kunalifanya jukwaa hili kutokuwa mfano bali kuwa origin ya majukwaa yote yanayoanzishwa kuiga. Tutabaki kuwa makapuku na hilo halina ubishi, wavue au wavuliwe, wakae uchi au wabaki watupu, waongee au wanyamaze. Ungependa kusikia nini kingine usiku huu?
Muziki sasa, wiki jana nilikuwa Ruangwa nakula pilau na sasa nimerudi Mtwara nimejipumzisha muda huu baada ya shughuli kubwa ya kushehereheka.

Yesu akulinde na damu yakeAkilala hukohuko alikotekwa itapendeza zaidiInaweza kuwekwa au isiwekwe make anko leo katekwa
Kujisalimishaa muhimu kwa wakati huu unamwaga mboga wanabeba ugali ankaliii
Ndo maana tunakupendaaAkilala hukohuko alikotekwa itapendeza zaidi
my exAkilala hukohuko alikotekwa itapendeza zaidi
Asante binamu uwe na usiku mwemaYesu akulinde na damu yake
Kila mtu na anachokipenda yaan sipati picha nikiwa hivyo nawaza vingi sana niko nalala...kwa sisi tunaopenda kufunua kurasa za kitabu huu mtumbo ndo safi kabisa, unalamba vidole tu na kuanza kufunua kupata dhumuni la mwandishi
Sema siku hizi si unajua ukoko haunogii wengi wavivu wanatumia gesi zamani ndo ingelikuumiza lakin sasa hivi wakibeba unasema asante kwa kunisaidia mzigo wa kuosha sufuria...ndo hivyo sasa, ukimwaga kumbuka kubeba na sufuria maana kuna waroho wanajua kukomba hatari
Sitaki nalala mkiweka muangalie wenyewe sio kwa ajili yangu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Anko njoo umuwekew auntie yako
Akilala hukohuko alikotekwa itapendeza zaidi
Sitaki binamu acha nilale tuAsante kushukuru aunt yangu, vipi unalala hutaki kumsikiza Lea?
Ebhu muwekee auntie japo hakupendiiAsante kushukuru aunt yangu, vipi unalala hutaki kumsikiza Lea?
Ila uzuri umeomba weweSitaki nalala mkiweka muangalie wenyewe sio kwa ajili yangu
Sitaki binamu acha nilale tu
Naitwa husnamy ex