Makapuku Forum

Makapuku Forum

...unajua unaweza kusema anatako wakati hujamuona. Maana kufanya tako liwe na ufanisi inahitaji juhudi kubwa sio kula tu, lazima ujiandae vizuri kwenye pepa ndo tako utaona linafanya kazi

Angalizo: Tako=tackle (kivumishi cha kuonesha kukabili maswali ya mtihani), usijaze maana chafu
obe ni nini lakini kunifanya nicheke kama mwehu mbele za watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom