Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Haujakosea madam shunieWe si ndio mwanzo ulikuwa unatumia Arsen nani sijui
Haujakosea madam shunieWe si ndio mwanzo ulikuwa unatumia Arsen nani sijui
Teh teh teh... Kila mtu na maana yakeAhahhahahh kumnyima mtu kitu unacho dhambi

Mimi n wewe tena shunie ake, hata utake wiki sina pingamizi mpendwa.. tafuta ijumaa moja jioni, mpaka j3 asubuh mwisho wa ziara.Inabidi nifanye ziara ya siku mbili huko maka akee
We umejuaje shunie!?We si ndio mwanzo ulikuwa unatumia Arsen nani sijui
Ana jicho kali!!Haujakosea madam shunie
Mito inahitaji pongezi kubwa maana sio kwa kunistiri huku.Aahhahahah najua

Ni hiyo avatar yako imenifanya nikujue ungebadili avatar ningejua mutu mupyaHaujakosea madam shunie
Ahahhaha mana yako me nimeielewa maka akee unamyimaje mtu kitu unacho jamanTeh teh teh... Kila mtu na maana yake
Mie nacheka kwa maana yangu, na naomba msiniulize maana yangu, nawe tafuta yako![]()
![]()
![]()
AsanteeeeeeMimi n wewe tena shunie ake, hata utake wiki sina pingamizi mpendwa.. tafuta ijumaa moja jioni, mpaka j3 asubuh mwisho wa ziara.
Ahahahha ni hiyo avatar yake hajachange makaWe umejuaje shunie!?
TehAna jicho kali!!
Mito inahitaji pongezi kubwa maana sio kwa kunistiri huku.![]()
![]()



mito ipi ya summary kama ya shunie au mana hii ukiilalia unabonyea tuAhahhaha mana yako me nimeielewa maka akee unamyimaje mtu kitu unacho jaman

Aahh.. hapo sawa, maana nilikuwa nna mpango nianze kutafuta wateja wa utabiri tupige pesa ndugu yanguAhahahha ni hiyo avatar yake hajachange maka
mito ipi ya summary kama ya shunie au mana hii ukiilalia unabonyea tu
shunie wanichimba, wajua fika mambo hayo nimeacha.. mto tu kama comfy au wa sufi
