Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,976
Teh mimi tenaSina mashaka nawe..![]()
![]()
Na hakuna maamuzi ya kipuuzi kama kujitoa uhai..Ahahahh ukijitundika ni ujinga wako mwenyewe unamuacha babe wako anampata mwingine anaendelea kumkula
Shunie umekuwa..mapenzi yasikie tu muhenga mie acha nijichekee nina ganzi na mapenzi
Ewaaaaaa
You always know my choice



mfyuuuu zako kwani nimekuchagulia wewe
Mmh mapema hiiJamani
Mlale salama
Shunie atusaidie kwa hili..Haha
Ukimuona msalimie sana
ShikamooNa hakuna maamuzi ya kipuuzi kama kujitoa uhai..
Ujitoe uhai kwa jitu zima ulilokutana nalo ukubwani huo ni uzwazwa acha maisha mengine yaendelee bada ya mapenzi kwani kuachwa au kuachana ndio niniiNa hakuna maamuzi ya kipuuzi kama kujitoa uhai..
Maka nimekuwa zaidi yaan kuna makorokoro unakutana nayo kwenye mahusiano yanazidi kukupa ganziShunie umekuwa..
Niwasaidie nini mie tenaShunie atusaidie kwa hili..
Nina arostoNimecheka kisambaa una nini lakini
We na mange nahisi vinasaba vyenu vinashabihiana..![]()
![]()



mange naona kadeactivate acc yake jamaan
Heeemfyuuuu zako kwani nimekuchagulia wewe
Sa nfanyejeMmh mapema hii