Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamani
Mlale salama
Tutalala salama, maana muda wa kulala bado, wacha tucheki game..

Na usingo huu ukakikimbilie kitanda saa hizi si unatafuta kuchana shuka kwa kugalauka galauka kitandani tuu, upate kazi ya kutandika upya kabla hata hakujakucha..

Sie masingle mida yetu ni saa 7 huko.
Jamani
Mlale salama
Tutalala salama, maana muda wa kulala bado, wacha tucheki game..

Na usingo huu ukakikimbilie kitanda saa hizi si unatafuta kuchana shuka kwa kugalauka galauka kitandani tuu, upate kazi ya kutandika upya kabla hata hakujakucha..

Sie masingle mida yetu ni saa 7 huko.
 
Tutalala salama, maana muda wa kulala bado, wacha tucheki game..

Na usingo huu ukakikimbilie kitanda saa hizi si unatafuta kuchana shuka kwa kugalauka galauka kitandani tuu, upate kazi ya kutandika upya kabla hata hakujakucha..

Sie masingle mida yetu ni saa 7 huko.

Tutalala salama, maana muda wa kulala bado, wacha tucheki game..

Na usingo huu ukakikimbilie kitanda saa hizi si unatafuta kuchana shuka kwa kugalauka galauka kitandani tuu, upate kazi ya kutandika upya kabla hata hakujakucha..

Sie masingle mida yetu ni saa 7 huko.
Sawa maka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom